Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Timu yangu Simba sc achaneni na kahata sijaona ubora wake, Katika mechi ya kwanza nilihis labda kwakuwa Algeria ni bora kuliko Kenya Lakini hata Jana alikuwa hivyo tu hadi kutolewa mapema kipindi cha kwanza sioni akitusaidia