Sijaona watu wakilaani na kumkejeli Lionel Mess

Sijaona watu wakilaani na kumkejeli Lionel Mess

Facts mnazo nyie tuu, na mnacho ongea nyie tuu ndo fact!!! Na kauli zenu ndo hizo hizo za kujifanya wanaojua mpira ndo wana msifia[emoji107] [emoji107] [emoji107]

Watoto wa messi mna nshangazaga sana

Tunachoongea sisi ni facts uliokuwa na ushahidi tosha, pia sisi sio watoto, watoto ni nyie wanyoa viduku kwa kumuiga jamaa yenu...mfalme hana hayo mambo ya kujipamba, yeye yupo kazini kwa ajili ya kuwaridhisha mashabiki wote duniani wanaompenda na wachache sana wasiompenda! hiyo ndio style yake.
 
Tunachoongea sisi ni facts uliokuwa na ushahidi tosha, pia sisi sio watoto, watoto ni nyie wanyoa viduku kwa kumuiga jamaa yenu...mfalme hana hayo mambo ya kujipamba, yeye yupo kazini kwa ajili ya kuwaridhisha mashabiki wote duniani wanaompenda na wachache sana wasiompenda! hiyo ndio style yake.
Sisi pia tuna ongea facts na huwa tuna waambia huyo si mfalme, labda kama ni mfalme wa kukimbia kodi maana kahukumiwa miez 21 kwa ukwepaji wa kodi
 
messi kaipeleka Argentina fainali ya world cup, copa Mara mbili 2,...mwenye rekodi ya Christian Ronaldo kwa timu yake ya taifa,atupie.kama kuna anayejua rekodi za messi kwa timu yake ya taifa,aongezee.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Penalt zingekuwa rahis Taxessi engepata na kuchukua kopa centenario basi, ndo ujue ku mheshim CR7
Ronaldo angekuwa shujaa tungeona magori kwenye timu yake ya taifa nipewe takwimu za mess na Ronald kwenye team zao za taifa ndio uone tofauti zao
 
Haya sasa cr7 kawatumia salamuuu
1467843923635.jpg
 
"tuzo mbili za ballondor hakustahili kabisa kupewa aliyestahili alikuwa ni cr7 lakini cr7 hakujali mwanaume bila kukata tamaa!!!?

Ukweli umejitenga wenyewe
View attachment 363022[/QUOTE]"




Hujui kabisa mpiraa wewe tangu mwanzo wa post yako hadi mwisho ni upuuzi mtupu..... unaendeshwa na mihemko tu na ushabiki wa kitoto nahisi wewe ni miongoni wa wale mlioanza kuangalia 2009.
 
CR7 kwa Messi atasubiri sana. CR7 wenzake ni akina Suarez, Neymar, Bale, et al ila siyo level ya Messi KABISA.
 
Mti Mkodpost: 16766815 said:
Hata tuzo za ballondor alizochukua messi zimeanza tiliwa mashaka .
Kama messi ni mkwepa kodi basi hata zile tuzo alikuwa anapewa kiufisadifisadi
Sasa kukwepa kodi na balloon d'or kuna uhusiano gani??

Alfu mm naona bora kukwepa kodi kuliko kupekenyuliwa nyuma na wamorroco
 
"tuzo mbili za ballondor hakustahili kabisa kupewa aliyestahili alikuwa ni cr7 lakini cr7 hakujali mwanaume bila kukata tamaa!!!?

Ukweli umejitenga wenyewe
View attachment 363022
"




Hujui kabisa mpiraa wewe tangu mwanzo wa post yako hadi mwisho ni upuuzi mtupu..... unaendeshwa na mihemko tu na ushabiki wa kitoto nahisi wewe ni miongoni wa wale mlioanza kuangalia 2009.[/QUOTE]
We ndo hujui mpira hakusathili kabisa hizo
 
Sasa kukwepa kodi na balloon d'or kuna uhusiano gani??

Alfu mm naona bora kukwepa kodi kuliko kupekenyuliwa nyuma na wamorroco
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mlipe kodi acheni wizi huoo
 
Huyo ronado ni kama akina gaucho,batistuta,ibrahimovich,hazard,neimar,aguero,de maria....lakini sio the King Leo,hapo ni kumdhalilisha mno!
 
Back
Top Bottom