Sijapata choo kwa muda mrefu licha ya kumeza vidonge vya kuharisha

Sijapata choo kwa muda mrefu licha ya kumeza vidonge vya kuharisha

unavyoonesha huwa hunywi maji ya kutosha,mboga mboga wala matunda hasa yenye fibers km papai,embe etc kunywa maji na fanya mazoez hata yakuruka ruka fasta tu lazima upate
 
Kunywa supu ya Kitimoto
Nina maumivu ya Abdomen na sijapata choo tokea vyakula nilivyokula Alhamisi iliyopita.

Jana nimekunywa dawa za kuharisha vidonge vinne Kwa muda mmoja (inatakiwa Kunywa kidonge kimoja) lakini mpaka sasa nimeenda sijaharisha ni tumbo tu linanguruma kutishia kuharisha niikifika chooni naishia kujamba na hakuna kinachotoka.

Nataka sasa kwenda kuchukua vidonge 10 nimeze vyote vyote.

======
Pia soma:Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake
 
Mkuu pole sana! Unayopitia yamenikuta pia. Ushauri ni mwingi na unaofanana lakini matokeo huwa hayapo kabisa. Na ukiwa chooni kuna hali ya kujikatia tamaa.
Ukiwa umeoa na unafamilia i mean chakula unakikuta kimeandaliwa, kuikabili hii hali ni ngumu, hasa sisi wenywe vipato vya chini. Utakula utakavhokikuta na hakuna anaejali tatizo lako even ur wife.
Ukiwa single unajipikia, rahis sana kula milo utakayoshauriwa kukabiliana na tatizo
 
Nina maumivu ya Abdomen na sijapata choo tokea vyakula nilivyokula Alhamisi iliyopita.

Jana nimekunywa dawa za kuharisha vidonge vinne Kwa muda mmoja (inatakiwa Kunywa kidonge kimoja) lakini mpaka sasa nimeenda sijaharisha ni tumbo tu linanguruma kutishia kuharisha niikifika chooni naishia kujamba na hakuna kinachotoka.

Nataka sasa kwenda kuchukua vidonge 10 nimeze vyote vyote.

======
Pia soma:Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake
Pole sana. Siku zaidi ya 4 bila kwenda choo hata kutoa kiduchu ni mateso na nimewahi kuyapitia. Nashauri umuone daktari.

Kama umri wako ninkama wa kwangu wa 60 na kuendelea, usishangae wa usifadhaike maana hayo ni maudhi ya kawaida kwa baadi ya watu katika umri mkubwa.

Napendekeza mambo yafuatayo ambayo yote au baadhi yamenisaidia:

1. Kuacha kula chakula cha usiku japo kwa majuma kadhaa na badala yake ule papai, nanasi na maparachichi kwa wingi.
2. Pata oat meal na mziwa yasiyopungua nusu lita kila siku usiku masaa ma3 kabla ya kulala. Kumbuka kuwa maziwa pekee yanaweza kuwa laxative nzuri sana. Mimi yamenisaidia kiasi pamajo na jitihada zingine.
3. Tafuna mbengu 10 na kunywa chai ya unga wa majani ya mlonge (moringa oleifera) kila siku usiku, ila chai ya majani ya mlonge hiyo kunywa asubuhi na jioni; weka kijiko kimoja cha chai kwenye chai yako yoyote au hata maziwa.
Fanya mazoezi ya sana itakusaidia na pia kunywa maji yenye limau au ndimu na chumvi kidogo, inaweza kukusaidia.

Mtegemee Mungu, atakuponya. Mungu amenisaidia mimi na ninajua atskusaidia na wewe.
 
Walikupa dawa gani???

Kuna dawa hizo kidonge kimoja TU kwasiku kama sijakosea tena ni kiduchuuuu like pirtoni sema ninezisahau jina

Alooooooohh! Ukikinywa usikae mbali na choo!

Ni constipation hio

Pia waeza kula ndizi mbivu mapapai kwawingi

Cc Smart911
 
Walikupa dawa gani???

Kuna dawa hizo kidonge kimoja TU kwasiku kama sijakosea tena ni kiduchuuuu like pirtoni sema ninezisahau jina

Alooooooohh! Ukikinywa usikae mbali na choo!

Ni constipation hio

Pia waeza kula ndizi mbivu mapapai kwawingi

Cc Smart911
Dulcolax
 
Tafuta mapapai ambayo yameiva sana ...njoo na mrejesho
 
Nina maumivu ya Abdomen na sijapata choo tokea vyakula nilivyokula Alhamisi iliyopita.

Jana nimekunywa dawa za kuharisha vidonge vinne Kwa muda mmoja (inatakiwa Kunywa kidonge kimoja) lakini mpaka sasa nimeenda sijaharisha ni tumbo tu linanguruma kutishia kuharisha niikifika chooni naishia kujamba na hakuna kinachotoka.

Nataka sasa kwenda kuchukua vidonge 10 nimeze vyote vyote.

======
Pia soma:Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake
Mwambie nesi aweke povu la omo kwenye sindano kubwa ya mnyama mkali kisha chuchuma weka poti kwa chini anaingiza kidogo kisha ana push povu utashusha mzigo wote papo hapo
 
Back
Top Bottom