econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Lema alidai CHADEMA watashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kuahidi kupambana. Pamoja na sisi wanachama kudai ya kwamba CHADEMA isishiriki huo uchaguzi lakini bado Viongozi hao akiwemo Lema walikazana CHADEMA ishiriki pamoja na rafu zote zile.
Cha kushangaza Jana tarehe 27 Novemba siku ya kupiga kura, Lema anatangaza rasmi kwamba yeye Kama kiongozi amejiondoa kwenye huu uchaguzi na kwamba hatashughulika na lolote. Na sababu za kijiondoa ni kwamba rafu ni nyingi Sana mkoani Arusha. Hivi Lema alitegemea Nini kutoka kwa CCM ? Amesahau 2020 kilichofanyika?. Kwa kweli CHADEMA tunahitaji Viongozi wenye kauli moja na sio Leo unasema hivi na kesho unabadilika na kusema kingine.
Kama mnashiriki uchaguzi mshiriki mpaka mwisho na sio kujitoa dakika za mwisho au Kama hamshiriki msishiriki kabisa. Kushiriki uchaguzi Chini ya serikali dhalimu ya CCM ni kukubali rafu zote na wizi wote wa kura.
Soma pia: Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa
Cha kushangaza Jana tarehe 27 Novemba siku ya kupiga kura, Lema anatangaza rasmi kwamba yeye Kama kiongozi amejiondoa kwenye huu uchaguzi na kwamba hatashughulika na lolote. Na sababu za kijiondoa ni kwamba rafu ni nyingi Sana mkoani Arusha. Hivi Lema alitegemea Nini kutoka kwa CCM ? Amesahau 2020 kilichofanyika?. Kwa kweli CHADEMA tunahitaji Viongozi wenye kauli moja na sio Leo unasema hivi na kesho unabadilika na kusema kingine.
Kama mnashiriki uchaguzi mshiriki mpaka mwisho na sio kujitoa dakika za mwisho au Kama hamshiriki msishiriki kabisa. Kushiriki uchaguzi Chini ya serikali dhalimu ya CCM ni kukubali rafu zote na wizi wote wa kura.
Soma pia: Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa