Uchaguzi 2020 Sijapenda, CHADEMA rekebisheni haraka haya makosa

Uchaguzi 2020 Sijapenda, CHADEMA rekebisheni haraka haya makosa

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Habari wanajf, moja kwa moja niende kwenye mada husika.

Juzi wengi tulimsikia mgombea wetu akiweka msimamo mara mbilimbili kuhusu kuendelea na kampeni siku ya leo na kwa muktadha huo alikuwa anamaanisha na ndio maana akafanya press siku hiyo.

Na kwa uhakika makamanda tulikuwa tumejiandaa kwa lolote, ikumbukwe tulishasema SASA BASI.

Mgombea wetu alieleza wazi kuwa hajapokea barua yoyote na hajasikilizwa hivyo uamuzi huo wa tume ni batili kwa kuwa barua haijamfikia kabisa.

Kitendo cha kamati kuu iliyoongozwa na mwenyekiti wetu kuja na maamuzi tofauti na aliyosema mgombea wetu ni tatizo kubwa sana.

Kwanza ni kama mmekiri kupokea barua ambayo kimsingi alivyoeleza mgombea ni kuwa haijapokelewa.

Pili, ni kama mmemuweka mgombea wetu kwenye mtego kwa kuonekana alikurupuka siku ya juzi kutoa maamuzi kabla ya kamati kuu kukaa.

Tujirekebishe au la sivyo basi mgombea wetu aambiwe asitoe msimamo kabla ya kamati kuu kuamua.

Mwenyekiti amekiri kuwa wagombea ubunge 36 wameenguliwa na wagombea udiwani 500+ wameenguliwa , ila cha kushangaza hadi leo hii chama hakijui wafanye nini ili hawa warudishwe na ni kama ndio imeshatoka hiyo
 
Kwani hukumsikia lisu akisema atasikiliza maamuzi ya kamati kuu.
By the way nyie ndo mnapotosha mambo makusudi kabisa lumumba mpaka mnapoteana mfano wengi mmekuwa mkisema lisu akishindwa uchaguzi ataingiza watu barabarani bila kuweka maelezo mengine aliyoyazungumza.
 
Mbona hilo linajulikana kwamba Lissu ni mropokaji. Ni vizuri leo Kamati yako imekuthibitishia hivyo kamanda. Lissu usiamini anachokisema. Umeona leo Mbowe anakiri kuwa ni mtu wa ku-lose temper. Hafai kuwa Rais. Anaweza kuingiza nchi kwenye vita visivyo na ulazima.
 
Kwani hukumsikia lisu akisema atasikiliza maamuzi ya kamati kuu.
By the way nyie ndo mnapotosha mambo makusudi kabisa lumumba mpaka mnapoteana mfano wengi mmekuwa mkisema lisu akishindwa uchaguzi ataingiza watu barabarani bila kuweka maelezo mengine aliyoyazungumza.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa maana hiyo kamati kuu imekubali kuwa ilipokea barua?
 
Huna akili wewe kilaza wa Lumumba. Lissu alisema clear ule ni msimamo wake binafsi na alisema anasubiri maamuzi ya kamati kuu ya Chama na maamuzi yatakayotolewa hayo ndo atayaheshimu
Shida ni kuwa alisema hajapokea barua, sasa iweje kamati wakubali uamuzi wa NEC ikiwa barua haijapelekwa kwa mgombea?
 
Mbona hilo linajulikana kwamba Lissu ni mropokaji. Ni vizuri leo Kamati yako imekuthibitishia hivyo kamanda. Lissu usiamini anachokisema. Umeona leo Mbowe anakiri kuwa ni mtu wa ku-lose temper. Hafai kuwa Rais. Anaweza kuingiza nchi kwenye vita visivyo na ulazima.
Nimeshaangaa sana mbowe kusema eti kuna muda huwa anatoa maamuzi sababu ya kuwa amechoka sana au kuwa busy na kampeni.
Sasa cha kujiuliza barua ilipokelewa? Na kama ilipokelewa lissu alidanganya?
 
Shida ni kuwa alisema hajapokea barua, sasa iweje kamati wakubali uamuzi wa NEC ikiwa barua haijapelekwa kwa mgombea?
Hujasikia wamesema wanaenda Mahakamani kwa hati ya dharula kupinga hilo??? Tatizo hamjui chadema wanawake kwenye mtego gani??
 
Juzi lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?

TL alisema anajiandaa kuendelea na kampeni.

Lakini pia aliseme suala hilo litajadiliwa na kamati kuu.

Na alieleze kwamba uamuzi wa kamati kuu utakuwa wa mwisho.
 
Wewe ni kamanda kutoka CCM mwenye utindio wa ubongo!Kwa taarifa yako hawajaja na maamuzi tofauti na ya Lissu.Kuanzia kesho au keshokutwa utamuona Lissu ataanza kuzunguka tena
 
..TL alisema anajiandaa kuendelea na kampeni.

..lakini pia aliseme suala hilo litajadiliwa na kamati kuu.

..Na alieleze kwamba uamuzi wa kamati kuu utakuwa wa mwisho.
So ilibidi asuburi kwanza kamati kuu ikae ndio nae atoe msimamo.
Pili, kamati kuu inaamuaje ikiwa hawajapokea barua yoyote kutoka tume??
 
Mbowe anasema ACT, CUF, NCCR, TLP,SAU, TADEA, Demokraia Makini, UDP ni vyama uchwara. Anasema havitakiwi kupewa haki sawa na Chadema!
 
Wewe ni kamanda kutoka CCM mwenye utindio wa ubongo!Kwa taatifa yako hawajaja na maamuzi tofauti na ya Lissu
Lissu alisema msimamo wake ni kuendelea na kampeni leo.
Pia kamati kuu inatoaje maamuzi ikiwa hawajapokea barua yoyote kutoka tume?
 
Lissu aliwatuma watu wakamwombee msamaha tume ila mitandaoni anawalisha matango pori[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kawaida yako kutoa propaganda uchwara humu. Rudi kwenye uzi wako kule nijibu maswali yangu ni nchi ipi kutoka jimbo moja kwenda lingine unaitaji visa na toa uthibitisho kilaza wewe
 
Mbowe umezingua, kwa mara ya oili katika maisha yako unacheza boko, mara ya kwanza kwny bunge la escrow pinda alielekea kibra kujiuzul, ukaingilia kati ukamlinda,
Mara ya pili leo mjomba lissu tayar kawapeleka kibra CCM na ukoo wake, umempunguza kasi tena, MBOWE UNAZINGUA
 
So ilibidi asuburi kwanza kamati kuu ikae ndio nae atoe msimamo.
Pili, kamati kuu inaamuaje ikiwa hawajapokea barua yoyote kutoka tume??

..hakuna tatizo lolote lile TL kueleza msimamo wake.

..tena wajumbe wa kamati kuu mmoja mmoja wangejitokeza na kueleza msimamo wao.

..at the end of the day msimamo unaoungwa na wengi ndio kauli ya mwisho ya chama na mgombea.
 
Back
Top Bottom