Uchaguzi 2020 Sijapenda, CHADEMA rekebisheni haraka haya makosa

Uchaguzi 2020 Sijapenda, CHADEMA rekebisheni haraka haya makosa

..hakuna tatizo lolote lile TL kueleza msimamo wake.

..tena wajumbe wa kamati kuu mmoja mmoja wangejitokeza na kueleza msimamo wao.

..at the end of the day msimamo unaoungwa na wengi ndio kauli ya mwisho ya chama na mgombea.
Sasa ukitaka kuona kamati kuu hawajui wafanye nini, angalia mbowe kakiri kuwa kuna wagombea 36 wa ubunge na wengine 500+ wa udiwani wameenguliwa, ila hadi leo hawajui wafanye nini ili hawa wagombea warudishwe na tume
 
Sasa ukitaka kuona kamati kuu hawajui wafanye nini, angalia mbowe kakiri kuwa kuna wagombea 36 wa ubunge na wengine 500+ wa udiwani wameenguliwa, ila hadi leo hawajui wafanye nini ili hawa wagombea warudishwe na tume

Wewe unafahamu CHADEMA wanatakiwa wafanye nini?

Tunatakiwa tuilaumu tume kwa kutokutenda HAKI.

Tunakosea sana kulaumu cdm ambao wamenyimwa haki.
 
Mataga hangaikeni na mgombea wenu asiyeweza kusimama hata Dakika thelathini jukwaani , asiyeweza kupanda chopa licha ya kuilipia 1.4 bilioni .
 
..wewe unafahamu cdm wanatakiwa wafanye nini?

..tunatakiwa tuilaumu tume kwa kutokutenda HAKI.

..tunakosea sana kulaumu cdm ambao wamenyimwa haki.
Sasa mkuu tulishasema toka awali kuwa mwaka huu hatutalia, mwaka huu SASA BASI. Iweje tena unauliza cdm wafanye nini?
Kwa hiyo na wewe unakiri kuwa hao wagombea ubunge na udiwani ndio basi tena?
 
Sasa mkuu tulishasema toka awali kuwa mwaka huu hatutalia, mwaka huu SASA BASI. Iweje tena unauliza cdm wafanye nini?
Kwa hiyo na wewe unakiri kuwa hao wagombea ubunge na udiwani ndio basi tena?

..wewe tueleze unapendekeza nini kifanyike kuhusu wagombea walioenguliwa na tume.
 
Kipi kilipaswa kutangulia, yeye lisu kutoa msimamo au kusubiri kamati kuu ikae?
Na pia kamati kuu inatoaje uamuzi ikiwa hawajapokea barua ya tume kuhusu lissu?
Sio kweli mkuu pamoja na msimamo wa mgombea wao alisema anasubili mahamuzi ya kamati kuu
 
Mimi sipo kamati kuu, kama kamati kuu haijui nini kifanyike ikiwa wagonbea wao wameenguliwa kwa makusudi basi hakuna kamati kuu hapo
..wewe tueleze unapendekeza nini kifanyike kuhusu wagombea walioenguliwa na tume.
 
Inaenda mahakamani ikiwa hawajapokea barua??
Swali la msingi sana. CHADEMA wanacheza na akili za wafuasi wao. Bahati nzuri watanzania wengi wamekwishaelewa michezo yao hii ya kitoto. Nawahurumia wanaofuata upepo wa CHADEMA na kuchezeshwa kama watoto wadogo
 
Mimi sipo kamati kuu, kama kamati kuu haijui nini kifanyike ikiwa wagonbea wao wameenguliwa kwa makusudi basi hakuna kamati kuu hapo

..tunaelewa hauko kamati kuu.

..lakini una uwezo wa kushauri kamati kuu na wasomaji wako nini kifanyike.
 
Wewe siyo CHADEMA, kakupa nani mamlaka ya kushauri huu ujinga? Hivi mbona hamuwapelekei majambazi CCM huo ushauri maana sasa hivi wanauhitaji sana!
 
Tukisema chama cha Mbowe hakina nia ya dhati ya kuwasaidia watanzania mnadhani tunapiga ngenga. Kama mwenyekiti wenu katepeta, nyote mtatepeta tu. Kundi la simba, kama linakiongozi kondoo utegemee matokeo ya kondoo.
 
"Tujirekebishe au la sivyo basi mgombea wetu aambiwe asitoe msimamo kabla ya kamati kuu kuamua".



Jamaa yenu ni mjinga sana anakurupuka sana ,Mbowe anampimia tu
 
Mimi mwenyewe imeniuma sana, kwa hali hii sina imani kama lissu na chadema kwa ujumla watajisimamia mara baada ya tume kumtangaza jiwe(mgonbea wao) kama mshindi ilihali ni kinyume chake!!
 
Lissu alisema clear ule ni msimamo wake binafsi na alisema anasubiri maamuzi ya kamati kuu ya Chama na maamuzi yatakayotolewa hayo ndo atayaheshimu
Kweli LISU KUNA wakati anakuwa MGOMBEA ANAEWAKILIASHA CHAMA NA AKUNA WAKATI ANAKUWA MGOMBEA BINAFSI hahahaha Eti CHAMA kikuu cha upinzanii Ivyo kabisa Kutupotezea Muda Sema Mbowe Leo Kamwonyesha KUWA CHAMA KINA WENYEWE NA WANAWEZA KUAMUA NA UKAKUBALI
 
Mbowe umezingua, kwa mara ya oili katika maisha yako unacheza boko, mara ya kwanza kwny bunge la escrow pinda alielekea kibra kujiuzul, ukaingilia kati ukamlinda,
Mara ya pili leo mjomba lissu tayar kawapeleka kibra CCM na ukoo wake, umempunguza kasi tena, MBOWE UNAZINGUA
Kumpokea lowasa toka ccm?
 
Inaenda mahakamani ikiwa hawajapokea barua??
Tuwaulize..Anaenda Mahakamani ni CHADEMA au TUNDU LISSU maana Tukumbuke anachodai Lissu yeye ndiia Aandikiwe Kama Ni Lissu Vipi Tena unanenda mahakamani Usiendeleee na kampeni MZEE WA FARAGHA
 
Kitendo cha kamati kuu iliyoongozwa na mwenyekiti wetu kuja na maamuzi tofauti na aliyosema mgombea wetu ni tatizo kubwa sana.
Kuna tetesi kuwa mgombea hatorudi tena jukwaani. Amekerwa na maauzi ya kamati. Stay tuned!
 
Back
Top Bottom