LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Lissu alishaeleza vizuri kabisa, kwamba kamati kuu ikiamua vinginevyo ataheshimu.sioni kosa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The worse thing ni kwamba mnajiona nyie ndo wenye mipangoo na mbinuu kuliko wengine.Mungu kawanyima akili mwaka huu!! Hamtaekewa stratergy ya Chadema na Lissu!! Ila jueni tu yote mnayofanya wenye dunia wanachukua kila kitu na jiandaeni tu!!
View attachment 1590087
Hapo sasaJuzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?
Hujui ulichoandika!Ngoja nikuelimishe.Sheria za tume ya uchaguzi zinamtenganisha Rais na mgombea wa kiti cha urais.Sheria za tume ya uchaguzi zinamtaka mtu ambae alikuwa ni Rais aweke urais wake pembeni wakati wa kugombea nafasi hiyo ya urais na atii sheria zote zinazohusu uchaguzi sawasawa na wagombea kutokea vyama vya upinzani.He is a president na huwezi kumny’angany’a urais hata kama ni mgombea. Hangaika na akina hornet tu
Hajapokea barua na ndio maana kamati imesema itakata rufaaShida ni kuwa alisema hajapokea barua, sasa iweje kamati wakubali uamuzi wa NEC ikiwa barua haijapelekwa kwa mgombea?
Hulioni!Juzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?
Kama Lisu ni mropokaji MAGUFULI ni mpayukaji kabisaMbona hilo linajulikana kwamba Lissu ni mropokaji. Ni vizuri leo Kamati yako imekuthibitishia hivyo kamanda. Lissu usiamini anachokisema. Umeona leo Mbowe anakiri kuwa ni mtu wa ku-lose temper. Hafai kuwa Rais. Anaweza kuingiza nchi kwenye vita visivyo na ulazima.
Kwani uongo??The worse thing ni kwamba mnajiona nyie ndo wenye mipangoo na mbinuu kuliko wengine.
Sheria za tume ya uchaguzi:Unajifanyaga mjuaji bure. Huwezi kumtenga JPM na Urais!
Chama kilipokea barua, Mnyika alijibu kama mtendaji wa CDM. Lisu alichotaka ni barua in person kama mgombea not kama chama.Kwa maana hiyo kamati kuu imekubali kuwa ilipokea barua?
Mbowe umezingua, kwa mara ya oili katika maisha yako unacheza boko, mara ya kwanza kwny bunge la escrow pinda alielekea kibra kujiuzul, ukaingilia kati ukamlinda,
Mara ya pili leo mjomba lissu tayar kawapeleka kibra CCM na ukoo wake, umempunguza kasi tena, MBOWE UNAZINGUA
Washabiki wengi wa vyama vya upinzani tumejificha,tuwashukuru hata hao ambao wamejitoa sadaka na kujulikana.Wewe unafahamu CHADEMA wanatakiwa wafanye nini?
Tunatakiwa tuilaumu tume kwa kutokutenda HAKI.
Tunakosea sana kulaumu cdm ambao wamenyimwa haki.
Mbowe kaja na maamuzi ya hovyo sana, kwa hapa alipoifikisha chadema tunamshukuru sana ila kwa maamuzi ya hovyo km haya tutamuomba atuachie chama chetu Kwa sasa tunaitaji siasa za kihanarakati na sio siasa za kubembelezana anazoziendekeza yeyeKuna tetesi kuwa mgombea hatorudi tena jukwaani. Amekerwa na maauzi ya kamati. Stay tuned!
Washabiki wengi wa vyama vya upinzani tumejificha,tuwashukuru hata hao ambao wamejitoa sadaka na kujulikana.
Wasialumiwe
Jitoe siku ya kuenda kulinda kura,Juzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?