Hizi siasa za kiharakati ndio zinawafelishaMbowe kaja na maamuzi ya hovyo sana, kwa hapa alipoifikisha chadema tunamshukuru sana ila kwa maamuzi ya hovyo km haya tutamuomba atuachie chama chetu Kwa sasa tunaitaji siasa za kihanarakati na sio siasa za kubembelezana anazoziendekeza yeye
Hujui kitu kuhusu siasa wewe.Habari wanajf, moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Juzi wengi tulimsikia mgombea wetu akiweka msimamo mara mbilimbili kuhusu kuendelea na kampeni siku ya leo na kwa muktadha huo alikuwa anamaanisha na ndio maana akafanya press siku hiyo.
Na kwa uhakika makamanda tulikuwa tumejiandaa kwa lolote, ikumbukwe tulishasema SASA BASI.
Mgombea wetu alieleza wazi kuwa hajapokea barua yoyote na hajasikilizwa hivyo uamuzi huo wa tume ni batili kwa kuwa barua haijamfikia kabisa.
Kitendo cha kamati kuu iliyoongozwa na mwenyekiti wetu kuja na maamuzi tofauti na aliyosema mgombea wetu ni tatizo kubwa sana.
Kwanza ni kama mmekiri kupokea barua ambayo kimsingi alivyoeleza mgombea ni kuwa haijapokelewa.
Pili, ni kama mmemuweka mgombea wetu kwenye mtego kwa kuonekana alikurupuka siku ya juzi kutoa maamuzi kabla ya kamati kuu kukaa.
Tujirekebishe au la sivyo basi mgombea wetu aambiwe asitoe msimamo kabla ya kamati kuu kuamua.
Mwenyekiti amekiri kuwa wagombea ubunge 36 wameenguliwa na wagombea udiwani 500+ wameenguliwa , ila cha kushangaza hadi leo hii chama hakijui wafanye nini ili hawa warudishwe na ni kama ndio imeshatoka hiyo
Aiyaaaa yaaaaa. Barua ya hizo allegations za Tume kwa Lissu ilitumwa CDM, na Mnyika kama mtendaji wa chama akajibu malalamiko hayo kuwa ''malalamiko hayo hayakihusu chama bali mgombea mwenyewe''. Lakini Tume iliendelea kusisitiza kuwa wao wanatambua chama kama mdhamini wa mgombea wa urais kupitia CDM and not Lisu in person. Mwisho wa siku walimsimamisha mgombea wa urais kupitia CDM ambaye anaitwa Tundu Lisu. Hivi ndivyo mambo yalivyokwenda. Ndiyo maana Kamati Kuu ya CDM ilidigest hii issue kwa kina.
Africa bila siasa za kiharakati huwezi kuking'oa chama tawala madarakani. Never everHizi siasa za kiharakati ndio zinawafelisha
Sio zama za harakati hizi
Wewe jadili yule aliyeomba kusuguliwa achana kabisa na chama chetu.Juzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?
Ndugu yangu kila kitu kina utaratibu. NEC ikitaka kumfikia mgombea yeyote kuna channel ya mawasiliano, lazima ipitie kwenye chama kilichomdhaminimgombea husika! Hapa nchini hakuna mgombea binafsi, kila mmoja lazima awe mwanachama wa chama cha kisiasa na adhaminiwe na chama hicho.So lissu alivyosema hakupokea barua alikuwa hajui anachosema, kwa kuwa kamati baada ya kudigest wakakubaliana na wanayosema NEC
Hayo madole unatiwaje?Endelea kujitia madole na kunusa
Unajua kusoma?Juzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?
mjomba kuwaelewesha sisi ufipa ni kazi ngumu.kwa maana ile tu sisi kujiita wanaharakat ndio bas bah shida kuanzia hapo.sisi wengine hatuelew hata tunataka niniNdugu yangu kila kitu kina utaratibu. NEC ikitaka kumfikia mgombea yeyote kuna channel ya mawasiliano, lazima ipitie kwenye chama kilichomdhaminimgombea husika! Hapa nchini hakuna mgombea binafsi, kila mmoja lazima awe mwanachama wa chama cha kisiasa na adhaminiwe na chama hicho.
Lissu anaposema hajapata barua yeye in person kama mgombea Ni kweli pia. Hadanganyi. Lakini Tume inagoma, inasema huo siyo utaratibu. Tume inadai enyewe haina anwani binafsi ya Lissu ila ina anwani ya Taasisi iliyomdhamini Lissu kama mgombea wake. Ndivyo ilivyo hata kwa vyama vingine.
Kamati Kuu ya CDM haina sabahu yoyote ya ku-compromise kampeni ya Lissu Ila inaangalia mambo ktk dimensions kadhaa. Kumbuka Lissu naye ni mjumbe wa Kamati hiyo, kama sehemu ya Kamati naye karidhia. Shida iko wapi hapo?
Tukuulize unayejitiaHayo madole unatiwaje?
Alikuwa na msimamo binafsi lkn akasema atasubiri maamuzi ya kamati kuu.Na kama ni kumwelewa ni kwamba yeye hayuko juu ya chama na pili pia kamati kuu ingeweza kukazia maamuzi ya mgombea kuwa aendelee na kampeni na hivyo kupingana na maamuzi ya NEC.Kwa muktadha huo MH.Lissu imemlazimu kuyaheshimu maamuzi ya chama.Juzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?
Ushaacha kutiwa?!Tukuulize unayejitia
Kosa lako ni kuwa unajijua ni mwezi mchanga lakini hutaki kukubaliana na hali yako. Idara ya kusikia haiko vizuri, muone daktari haraka.Juzi Lissu kasema hajapokea barua na ataendelea na kampeni leo, wengi tukafurahi na kusema mwaka huu bampa to bampa. Sasa hapa kosa langu nini?
Ulimuelewa Mbowe kweli wewe?Mbona hilo linajulikana kwamba Lissu ni mropokaji. Ni vizuri leo Kamati yako imekuthibitishia hivyo kamanda. Lissu usiamini anachokisema. Umeona leo Mbowe anakiri kuwa ni mtu wa ku-lose temper. Hafai kuwa Rais. Anaweza kuingiza nchi kwenye vita visivyo na ulazima.
Pili, ni kama mmemuweka mgombea wetu kwenye mtego kwa kuonekana alikurupuka siku ya juzi kutoa maamuzi kabla ya kamati kuu kukaa.
Wapi kima wa Marekani anayecheka?!Kwani marekani ameshawai kucheka na kima???