mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kati yako na yeye nani kaandika uharo?Maneno meengii kumbe uharo tu, mara ya mwisho kumfunga yanga unaikumbuka au unajichetua akili? Na uyo mgunda wako kakutana na yanga mara ngapi na kapata ushindi mara ngapi mbele ya yanga? Kwamba mngeifunga yanga goli 3 leo kwa ubora upi ulionao ambao ungekufanya umfunge yanga hizo goli 3? Na mgunda uyu ndo unategemea akufikishe nusu fainali ya klabu bingwa!!! Na kikosi chenu icho icho, naona umbumbumbu ni mzigo mzito sana unawasumbua
Hivi hizi mambo huwa hamuoni aibu kuropoka mpaka leo?.Labda mfike nusu fainali ya Ndondo Cup.
Mnajitutumua kuifunga yanga baada ya mechi mnaokoteza visababu vya ovyo ovyo, mtabaki kuwa under dog mbele ya yanga ata mkatafute kocha kati kati ya bahari na sio tanga tena, mpeni mkataba sasa si mlimtegeshea ashinde dabi ndo mumpe ukocha mkuu, mpeni atawafikisha nusu fainali mnayoota vichwani mweni
Wewe ni Matola?[emoji23]Mnajitutumua kuifunga yanga baada ya mechi mnaokoteza visababu vya ovyo ovyo, mtabaki kuwa under dog mbele ya yanga ata mkatafute kocha kati kati ya bahari na sio tanga tena, mpeni mkataba sasa si mlimtegeshea ashinde dabi ndo mumpe ukocha mkuu, mpeni atawafikisha nusu fainali mnayoota vichwani mweni
Hilo jamaa halijaangalia mpira.Umeshambulia wapi ? Hivi Wewe Akili yako ipo sawa sawa kweli ?
Uharo mtupuSimba ya sasa ni Bora, na tuseme kuwa Yanga ikajipange.
magoli kama yale ni kweli Manula anaugonjwa nayo , hata Morrison alimfunga sana Manula kwa staili ile , lakini haindoi uhalisia kuwa bado ni golikipa bora.
Mgunda amefanya a major reform ya Klabu yetu pendwa na kurudisha tumaini ambalo liliondolewa na makocha wakigeni wasioelewa Chemistry ya soka letu.
Chance ya Juma kushinda hii game ilikuwa ni zaidi ya 60%, changamoto ya Dabi inaenda na presha hivyo utulivu unakuwa hafifu, Hongereni simba kwa soka bora , sio lazima kila mechi ushinde, kupiga kandanda ya kujiamini inatia moyo.
Ninaamini Mgunda anacheza NUSU FAINALI , CAF ,Mark my words .
Katika kufanya MOTISHA ya makocha wa kizawa,SSC waache MBAMBAMBAMBA na wamtangaze Juma kama Head Coach haraka sana.
Mshahara wa Head Coach SSC si chini ya Mil 25 pamoja na benefits zote as Head Coach ikiwa ni pamoja na kumpatia makazi tena MASAKI au Osterbay na usafiri binafsi kama jinsi ambavyo makocha wa kigeni hupewa hizo care.
Hii pia itatengeneza career path nzuri na motisha kwa makocha wengine wa ndani.
SSC na Yanga, kabla hamjaanza kuhangaika na makocha wa nje angalieni kwanza ndani , achaneni na mambo ya uzoefu, toeni uzoefu kwa kuwajenga makocha wa ndani ambao kwa asilimia kubwa watakuwa na uelewa mkubwa wa soka la Africa Na kujua hitaji la mashabiki.
Yanga hii game ilikuwa tuwapige nyingi , ni presha tu ya Dabi, but hii game leo ilikuwa tuwapige hata tatu.
Mjipime upya, maana kunauwezekano mkubwa hata makundi ya shirikisho msicheze, siamini na sitokuja kuamini kama mtaweza kuwatoa Africa Club. Maana ile timu inapambana na timu kama Widady na Raja.
Huyu Nabi sasa anaenda kuwa tested kwa mara ya pili, na safari yake ya makundi itaishia tunisia, ndio mtajua kuwa kumbe shirikisho sio ya maloser, na kuna haja ya kupromote talents za ndani.
Na nyie makocha wa ndani anzeni kujiamini na kujiongeza kielimu.
NonsenseUtajua ni Uharo au la. Mtakaposhindwa kucheza MAKUNDI
umeshambulia wewe hapa na akili yako iko sawa kabisa izo hatari ziko upande wako mgundaUmeshambulia wapi ? Hivi Wewe Akili yako ipo sawa sawa kweli ?
nimeweka takwimu mkuu, wewe una angalia kabumbu hizo takwimu za soka huwezi elewa
Zile finali za Federation Cup Kigoma si zilikuwa Mwezi wa saba mwaka jana(07/2021)? Sasa ndiyo zishafika siku 1,345? Hizo takwimu za Manara zinawapotosha nyie.Simba siku 1,345 bila ushindi kwa Yanga Simba siku 1,345 bila ushindi kwa Yanga
Ilikuwa mwaka jana 2021 kumbe???Zile finali za Federation Cup Kigoma si zilikuwa Mwezi wa saba mwaka jana(07/2021)? Sasa ndiyo zishafika siku 1,345? Hizo takwimu za Manara zinawapotosha nyie.
Kumbe ilikuwa mwaka Gani? Fainali za Kigoma zilikuwa Julai 2021. Nyie mnakaririshwa mambo ya uongo na kuyabeba bila ya kufanya utafiti. Anayewaongopea ndiye alisema Yanga wenye akili ni baba yake na Kikwete.Ilikuwa mwaka jana 2021 kumbe???
mara sita goli moja,mwenzio mara mbili goli moja nani kiazi?yanga kafika golini mara 6 nyau mara 2 (short on target ) alafu unajitapa ungeifunga yanga
unaifunga vp hukuwa na mipira ya hatari golini kwake