Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Maneno meengii kumbe uharo tu, mara ya mwisho kumfunga yanga unaikumbuka au unajichetua akili? Na uyo mgunda wako kakutana na yanga mara ngapi na kapata ushindi mara ngapi mbele ya yanga? Kwamba mngeifunga yanga goli 3 leo kwa ubora upi ulionao ambao ungekufanya umfunge yanga hizo goli 3? Na mgunda uyu ndo unategemea akufikishe nusu fainali ya klabu bingwa!!! Na kikosi chenu icho icho, naona umbumbumbu ni mzigo mzito sana unawasumbua
Kati yako na yeye nani kaandika uharo?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Zile zama za Simba na yanga kufungana 4-1 3-2 sijui 5-0 haziji kujirudia Tena
 
Kati yako na yeye nani kaandika uharo?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mnajitutumua kuifunga yanga baada ya mechi mnaokoteza visababu vya ovyo ovyo, mtabaki kuwa under dog mbele ya yanga ata mkatafute kocha kati kati ya bahari na sio tanga tena, mpeni mkataba sasa si mlimtegeshea ashinde dabi ndo mumpe ukocha mkuu, mpeni atawafikisha nusu fainali mnayoota vichwani mweni
 
Mnajitutumua kuifunga yanga baada ya mechi mnaokoteza visababu vya ovyo ovyo, mtabaki kuwa under dog mbele ya yanga ata mkatafute kocha kati kati ya bahari na sio tanga tena, mpeni mkataba sasa si mlimtegeshea ashinde dabi ndo mumpe ukocha mkuu, mpeni atawafikisha nusu fainali mnayoota vichwani mweni
Wewe ni Matola?[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitaongea na 'Mudi' na 'Barabara' walifanyie kazi hili...

Subiri mrejesho
 
KABLA ya mechi Yanga hawachomoki , BAADA ya mechi presha ilikuwa juu Yanga tungewafunga hata tatu.

Hili nalo mkaliangalie Wanathimbaa

Nyie si ndio mpo home . Mngeshînda basi
 
Simba ya sasa ni Bora, na tuseme kuwa Yanga ikajipange.

magoli kama yale ni kweli Manula anaugonjwa nayo , hata Morrison alimfunga sana Manula kwa staili ile , lakini haindoi uhalisia kuwa bado ni golikipa bora.

Mgunda amefanya a major reform ya Klabu yetu pendwa na kurudisha tumaini ambalo liliondolewa na makocha wakigeni wasioelewa Chemistry ya soka letu.

Chance ya Juma kushinda hii game ilikuwa ni zaidi ya 60%, changamoto ya Dabi inaenda na presha hivyo utulivu unakuwa hafifu, Hongereni simba kwa soka bora , sio lazima kila mechi ushinde, kupiga kandanda ya kujiamini inatia moyo.

Ninaamini Mgunda anacheza NUSU FAINALI , CAF ,Mark my words .


Katika kufanya MOTISHA ya makocha wa kizawa,SSC waache MBAMBAMBAMBA na wamtangaze Juma kama Head Coach haraka sana.

Mshahara wa Head Coach SSC si chini ya Mil 25 pamoja na benefits zote as Head Coach ikiwa ni pamoja na kumpatia makazi tena MASAKI au Osterbay na usafiri binafsi kama jinsi ambavyo makocha wa kigeni hupewa hizo care.

Hii pia itatengeneza career path nzuri na motisha kwa makocha wengine wa ndani.

SSC na Yanga, kabla hamjaanza kuhangaika na makocha wa nje angalieni kwanza ndani , achaneni na mambo ya uzoefu, toeni uzoefu kwa kuwajenga makocha wa ndani ambao kwa asilimia kubwa watakuwa na uelewa mkubwa wa soka la Africa Na kujua hitaji la mashabiki.

Yanga hii game ilikuwa tuwapige nyingi , ni presha tu ya Dabi, but hii game leo ilikuwa tuwapige hata tatu.

Mjipime upya, maana kunauwezekano mkubwa hata makundi ya shirikisho msicheze, siamini na sitokuja kuamini kama mtaweza kuwatoa Africa Club. Maana ile timu inapambana na timu kama Widady na Raja.

Huyu Nabi sasa anaenda kuwa tested kwa mara ya pili, na safari yake ya makundi itaishia tunisia, ndio mtajua kuwa kumbe shirikisho sio ya maloser, na kuna haja ya kupromote talents za ndani.

Na nyie makocha wa ndani anzeni kujiamini na kujiongeza kielimu.
Uharo mtupu
 
Umeshambulia wapi ? Hivi Wewe Akili yako ipo sawa sawa kweli ?
umeshambulia wewe hapa na akili yako iko sawa kabisa izo hatari ziko upande wako mgunda
 

Attachments

  • IMG-20221023-WA0024.jpg
    IMG-20221023-WA0024.jpg
    33.2 KB · Views: 4
Zile finali za Federation Cup Kigoma si zilikuwa Mwezi wa saba mwaka jana(07/2021)? Sasa ndiyo zishafika siku 1,345? Hizo takwimu za Manara zinawapotosha nyie.
Ilikuwa mwaka jana 2021 kumbe???
Mara ya mwisho kuifunga Yanga Mwalimu Kashasha akiwa Mchambuzi TBC (rip), Mambosasa akiwa RPC Dar, Magu akiwa Rais, Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa, Sabaya akiteka watu Hai,Mbowe akiwa KU Bungeni, Mdee akiwa Kiongozi wa Bavicha, Kinana akizibwa mdomo haongei, Polepole Msemaji wa Chama,
Hayo yote yametokea mwaka jana?? Mbumbumbu bhana
 
Ilikuwa mwaka jana 2021 kumbe???
Kumbe ilikuwa mwaka Gani? Fainali za Kigoma zilikuwa Julai 2021. Nyie mnakaririshwa mambo ya uongo na kuyabeba bila ya kufanya utafiti. Anayewaongopea ndiye alisema Yanga wenye akili ni baba yake na Kikwete.
 
yanga kafika golini mara 6 nyau mara 2 (short on target ) alafu unajitapa ungeifunga yanga

unaifunga vp hukuwa na mipira ya hatari golini kwake
mara sita goli moja,mwenzio mara mbili goli moja nani kiazi?
 
Back
Top Bottom