Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

nafikiri huelewi hata unacho jibu

mtu wa simba anasema alistahili kushinda mechi hii ndio nimemjibu yanga kafika golini mara 6 kwa mipira ya hatari nyau mara 2 vp anapo sema alistahili kushinda

ikiwa namba ya kushambulia kihatari jko chini wewe unacho jibu sijui hata ni nini
Bwege mwingine huyu hapa. Hizo no short on target sio kufika golini. Short on target unaweza kupiga hata katikati ya uwanja ili mradi tu ulenge goli. Lakini unaweza ukafika golini na usipige short yoyote.
Kwa ile gemu ya jana simba amefika golini mara nyingi kuliko yanga bila kujali shorts on target
 
Yule mtoto okrah ni kama mwehu mda MWINGINE...dah
 
Bwege mwingine huyu hapa. Hizo no short on target sio kufika golini. Short on target unaweza kupiga hata katikati ya uwanja ili mradi tu ulenge goli. Lakini unaweza ukafika golini na usipige short yoyote.
Kwa ile gemu ya jana simba amefika golini mara nyingi kuliko yanga bila kujali shorts on target
wewe n bwege sana mkuu, kwenye mechi ya yanga mipira mingapi ilipigwa katikati na kufika golini

unaleta ujuaji wa kibwege kwamba simba alikuwa anafika golini ila hapiki anarudi kuanza upya

we jamaa umeme mdg kichwani
 
Back
Top Bottom