Acha wamasai. Inaelkea mmasai ndio amekuzwana mzungu tu lakini utamaduni OG sio kweli kashika yeye ingawa Anajitahidi kudumisha.
ikokabila huku shamba nalima mimi mtu na dada zakwe wanaoga bwawa moja hakuna pichu, na kulala chumba kimoja wote anaekula puchi shauri yake.
mmoja alinipeleka kwake rini mita 200 hivi kabla kufika akaanza kuita jina la mkewe kwa sauti kubwa, nikamuulizaunafanya nini akasema anapiga hodi, huenda mkewe amepata mchepuko sasa anapiga hodi jamaa kama ytupo aweze ku " escape" akanimabia nyie ndio mnahangaika na hizi maku maku wao hwana story nazo kabisa wanajali mali.
Siku ya uchaguzi wa Magufuli nilimwambia kuna uchaguzi akaniambia wa nini n nani anachaguliwa nilishangaa sana , Kifupi wao ni maisha na mali na family yao basi mambo mengine hawana story nayo wanakutana nayo tu n.k