kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
toka mkeo Kakuacha kwa talaka basi hata kufikiri kumekuacha piaWamchomoe aende wapi wakati ameshachomekwa?
Mbowe kila mda kwani hakuna watuhumiwa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toka mkeo Kakuacha kwa talaka basi hata kufikiri kumekuacha piaWamchomoe aende wapi wakati ameshachomekwa?
Mbowe kila mda kwani hakuna watuhumiwa wengine
Ngoja kwanza ajibu mashitaka ya ugaidiTukubali ukweli tu kuwa chama chetu hakina watu mahiri na makini kama enzi za akina Marando wa Nccr mageuzi.
Kesho mwamba ataletwa Kisutu na kisha kusomewa Commital. Naona wanasheria wa mwamba wanalalamikia kukamatwa kwake lakini hawajasema kama watamchomoa,means wamekubali yaishe.
Enzi zile za akina Marando jinsi walivyokuwa wanajua mapambano, mwamba angeliweza kuchomolewa.
My take: Chadema yetu ipo hoi taabani, haina wasomi kama Nccr ya akina Marando.