Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.