Sijasikia wananchi wa kawaida wakiwalilia mashujaa wa CHADEMA waliotiwa nguvuni

Sijasikia wananchi wa kawaida wakiwalilia mashujaa wa CHADEMA waliotiwa nguvuni

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
 
Wanaopika vitumbua wao busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM...
Mafala wengine yaani Kama mgeni Bongo..unataka watu wafe Satan
 
Ukwel kbx maan kitaa hat hakun anayewaongelea yan kupo kimya kila Mtu bize na mishe zake
 
Tuache kulilia Tozo ya Kizalendo inavyotunyonya damu, tukalilie watu ambao hawawezi kulia na sisi sababu hawana uhalisia wa kile tunachopitia.
 
Governments that block the aspirations of their people, that steal or are corrupt, that oppress and torture or that deny freedom of expression and human rights should bear in mind that they will find it increasingly hard to escape the judgement of their own people, or where warranted, the reach of international law.
 
Wanaopika vitumbua wao busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM...
Hivi unadhani hata wakina Nyerere walikubalika na wananchi wengi wakati wanadai uhuru? Uliwahi kusikia wananchi waliandamana wakati walibambikiwa kesi?

Hao wachache wanaowaunga mkono wanatosha. Historia itawatendea haki.

Amandla...
 
Hakuna kiongozi au mwananchi yeyote makini anaetaka amani na utulivu akawavumilia chadema na huu ndo ukweli Chadema mnafanya siasa za kizamani sana mnafanya siasa zilizokuwa zinafanyika enzi za kupigania uhuru

Tawi pekee linalofanya vzr ndani ya Chadema ni Tawi la mtandaoni tu tena hawa wanapiga makelele wakiwa na Fake ID huku wamewasha VPN

JPM ndo aliwaweza vzr Gwanda zilikuwa night dress mnazivaa usk wkt wa kulala
 
Hivi unadhani hata wakina Nyerere walikubalika na wananchi wengi wakati wanadai uhuru? Uliwahi kusikia wananchi waliandamana wakati walibambikiwa kesi?

Hao wachache wanaowaunga mkono wanatosha. Historia itawatendea haki.

Amandla...
Unaifahamu historia ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom