Sijasikia wananchi wa kawaida wakiwalilia mashujaa wa CHADEMA waliotiwa nguvuni

Sijasikia wananchi wa kawaida wakiwalilia mashujaa wa CHADEMA waliotiwa nguvuni

Tulia babu....CCM haiwezi kuikalia Tanzania ki mabavu.

Katiba mtaitoa tu, mtake msitake.
🤣🤣

Katiba MPYA haipo babu....

Haipo mkuu....

Watanzania hawatomwaga damu zao zikajaa miferejini kwa sababu ya KATIBA INAYOSUKUMWA NA WANASIASA....watanzania si WAPUMBAVU....wanawaelewa wanasiasa VYEMA MNO....Watanzania si WAAFRIKA KUSINI AMBAO wako tayari kumwaga damu zao kisa "Zuma" amepelekwa RUMANDE....🤣🤣

ENDELEA KUJIOTESHA NDOTO
 
Hivi huwa kuna wananchi wa kawaida na wasio wa kawaida?
Ndio...
Ndio....

Wako wananchi wa hali za chini kabisa....ambao kula yao ya siku mpaka atoke vibaruani....akirudi anarudi na fedha ya kula siku 1 ama 2.....

Hawa hawataki UJINGA WA WANASIASA......
Hawa si walevi wa harakati za MITANDAO YA KIJAMII.....(TWITTER,INSTA ,JF ,FB n.k)

Miongoni mwao ni masela wa kitaa....huku uswazi....huku tunaoishi wabishi....si "mayaimayai" wa Masaki ,Mikocheni ,ADA ESTATE n.k

Kwa huku BONGO ,ukiacha BAADHI YA wanaopenda kuandamana kwa AJILI YA MSUKUMO WA DINI....wengi wa vijana wa USWAZI hawashobokei UJINGA wa kujipeleka kuchezea VIRUNGU kisa CHADEMA....

#KaziInaendelea
#NchiKwanza
 
Halafu wakiambiwa kuwa CHADEMA wapo jamii forum na twiter pekee ila mtaani hakuna wanakuja kwa matusi na lugha za kujifariji.

Narudia tena, huku mtaani hakuna vijana wa ufipa wala wazee wa CDM.
Uchaguzi vifaru uwa ni vya nini? Na kuua watu na kutesa na kuwakata majina wagombea?
 
Tuache kulilia Tozo ya Kizalendo inavyotunyonya damu, tukalilie watu ambao hawawezi kulia na sisi sababu hawana uhalisia wa kile tunachopitia.
Me nataka tozo iongezwe tena na tena ili mlie kabisa bunge lenu kibogoyo.

Yaani tozo ya kutoa elf 2 iwe elf10
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Mpumbavu na mjinga wewe....!

Hao unaowaita "wananchi wa kawaida" wakoje na wana qualities gani?

Sisi unaotuona humu unadhani ni "wananchi maalumu sana" na siyo wa kawaida siyo?
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Naive and nonsense thread.
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Unawapa air time ya bure hao mashujaa wa karatasi!! Mashujaa kwa lipi?
 
Upinzani tunautaka sana, ila sio kama huu Upinzani wa kihuni

Ni upumbavu kuwa mpinzani hasa wa chama viongozi wake wanajihusisha na masuala ya kigaidi
Hata Lwakatare alishasota sana ndani kwa kesi za kupikwa za ugaidi,tumeshazoea
 
Hakuna kiongozi au mwananchi yeyote makini anaetaka amani na utulivu akawavumilia chadema na huu ndo ukweli Chadema mnafanya siasa za kizamani sana mnafanya siasa zilizokuwa zinafanyika enzi za kupigania uhuru

Tawi pekee linalofanya vzr ndani ya Chadema ni Tawi la mtandaoni tu tena hawa wanapiga makelele wakiwa na Fake ID huku wamewasha VPN

JPM ndo aliwaweza vzr Gwanda zilikuwa night dress mnazivaa usk wkt wa kulala
CDM wanasiasa zile za kizamani za kudai Uhuru hawana mipango mikakati kiasi kwamba sisi wananchi hatuwaelewi muelekeo wao vurugu hazito wasaidia kwani watz ni werevu
 
Wamkamate Mzee mpili halafu waone tutakavyo kiwasha, ngoja kwanza kesho tukamzike Simba aliyofariki Dar kisha ndio tutaangalia inakuaje.
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Makamanda uchwara ya Dodoma yaliahidi kufanya maandamano leo, sasa sijui yamepotelea wapi.
 
ww ulitaka kuona watu wanatokwa na machozi hadharani?

hizi sinema jeshi lenu la maccm wanazo cheza zitaisha
 
Back
Top Bottom