Sijatoka nje ya dar mwaka wa 12 huu,niende mkoa gani mzuri wenye hali ya hewa nzuri?

Dsm ndio kila kitu mkuu kasoro joto tu,i cant imagine kuishi nje ya dar
 
Hlf huo mkoa wasipo liangalia swala la hewa/mazingira kiujumla watakuja kujutia kwa mtu alieishi mikoa yenye fresh hewa akifika Dar lzm atagundua kuna kitu tofauti na itampa tabu
 
Duuh,kweli tunatafautiana,mi sjawahi kukaa mji mmoja zaidi ya miezi mitatu bila kutoka,kwanza naweza hata kuumwa nkikaa muda mrefu sehem moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hlf huo mkoa wasipo liangalia swala la hewa/mazingira kiujumla watakuja kujutia kwa mtu alieishi mikoa yenye fresh hewa akifika Dar lzm atagundua kuna kitu tofauti na itampa tabu
Acha tu,hewa nzito na yamoto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…