Ed edd n eddy
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 212
- 270
- Thread starter
- #21
Dsm ndio kila kitu mkuu kasoro joto tu,i cant imagine kuishi nje ya darHahahahahaa.
Braza heshima yako sanaaa. Hali ya hewa ya Arush huwezi kuilinganisha na Dar es salaam bwana. There's just something special about Arusha, hivi unajua katika maamuzi ambayo namuunga mkono Raisi ni kuhamishia serikali Dodoma ? Daslam unaishi tu ufanye sasa....