PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Kinachoipa chati ni ule ujuujuu wake otherwise haina cha ajabu,sijui labda kwa hizi za kuanzia 2018...
Harrier premium advance zimeanza Toka 2014 Hadi 2022 .Kinachoipa chati ni ule ujuujuu wake otherwise haina cha ajabu,sijui labda kwa hizi za kuanzia 2018...
Kuna siku kwenye mataa niliona gari mfumo wa harrier lakini ni lexus halafu kwa pembeni imeandikwa hybridHarrier premium advance zimeanza Toka 2014 Hadi 2022 .
Hizi ni hybrid system ziko advanced Sana tofauti na Tako la nyani ingawa ukubwa wa engine ni uleule
Lexus RX300 RX350 etcKuna siku kwenye mataa niliona gari mfumo wa harrier lakini ni lexus halafu kwa pembeni imeandikwa hybrid
Kuna siku nimezikuta zinaongozana 4 barabarani halafu zote nyeusi,nikajisemea moyoni kumekucha ngoja tu nikae kimya...Mi huo usare sare maua mjini ndo nimetokea kuyachukia[emoji57]
LIle gari linashare platform moja na Camry. Kwa lugha rahisi, ile ni salon car yenye mwili mkubwa.Tatizo la ilo gari shida ni miguu linasumbua .sijui sababu ya barabara zetu
Mkuu ni normal concept ya physics kwenye gravitational force. Gari ikiwa chini inakua na balance stability kubwa kuliko iliyoko juu.#1 wewe ni mtu wa pili kusema nyepesi, nina mtu wangu wa karibu aliwahi niambia hivyo.
Usipende kulinganisha V8 na takataka mkuu.Huko sasa umefika kwingine mkuu, japo Ukimkalia mnyama Mi5 BMW sijui kama utaitamani hiyo V8
kote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje SUV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maSUV hautamani kabisa hivyo viberitiKwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.
Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.
Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:
1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..
2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..
3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.
4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)
5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.
N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Gari yao pendwa wilayani chunya haiko sawa barabarani labda mijini kwa safari siyo salamaKwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.
Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.
Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:
1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..
2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..
3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.
4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)
5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.
N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Mkuu hiyo gari nilioitaja unaijua na ushawahi kuionja au unaongeaUsipende kulinganisha V8 na takataka mkuu.
Sio za ki Sisiemu mkuu[emoji3]Arguments nyingine zimekaa ki-sisiemu tu. Ni gari gani ukiwa speed 120 haiihitaji umakini wa hali ya juu?
Pili, dereva timamu hawezi kuingia kichwa kichwa kwenye kona kali, haijalishi aina ya gari analoendesha.
Tatu na la msingi, gari uliyoendesha imeshapitia mikononi mwa watu.
Hizi Harrier tangu TOYOTA wazifanyie recall kwa sababu ya hitilafu sijawahi kuzielewa tenaTatizo la ilo gari shida ni miguu linasumbua .sijui sababu ya barabara zetu
Mwanzo umeeleza vizuri sana kwa gari zilizo chini na faida zake pia umetoa, tatizo limekuja kwa SUV kwanini hujaweka hizo faida?.Mkuu ni normal concept ya physics kwenye gravitational force. Gari ikiwa chini inakua na balance stability kubwa kuliko iliyoko juu.
Ila advantage za SUV ni nyingi kuliko Sedan/Salon Cars hivyo nunua tu SUV.
Zinajulikana mkuu.Mwanzo umeeleza vizuri sana kwa gari zilizo chini na faida zake pia umetoa, tatizo limekuja kwa SUV kwanini hujaweka hizo faida?.