witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Teh teh...hii Mandela road yote zimejaa ka mchanga vile ...noma sanaKuna siku nimezikuta zinaongozana 4 barabarani halafu zote nyeusi,nikajisemea moyoni kumekucha ngoja tu nikae kimya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh...hii Mandela road yote zimejaa ka mchanga vile ...noma sanaKuna siku nimezikuta zinaongozana 4 barabarani halafu zote nyeusi,nikajisemea moyoni kumekucha ngoja tu nikae kimya...
Suv ina advantage gani zaidi ya ground clearance? Hizi suv za mchongo harrier,rav4 msiziweke kwenye proper suv akina lc. Hizi kwenye barabarani korofi kidogo tu hazitoboi kama sedan tu.Mkuu ni normal concept ya physics kwenye gravitational force. Gari ikiwa chini inakua na balance stability kubwa kuliko iliyoko juu.
Ila advantage za SUV ni nyingi kuliko Sedan/Salon Cars hivyo nunua tu SUV.
Rav 4 unayoita ya mchongo ndio SUV maarudu zaidi Duniani zaidi ya LC.Suv ina advantage gani zaidi ya ground clearance? Hizi suv za mchongo harrier,rav4 msiziweke kwenye proper suv akina lc. Hizi kwenye barabarani korofi kidogo tu hazitoboi kama sedan tu.
Rav4 na Harrier ni suv za mchongo. Sio proper suv. Corolla inaongoza kwa mauzo all time duniani unafikiri ndio the best car in Jp au duniani?Rav 4 unayoita ya mchongo ndio SUV maarudu zaidi Duniani zaidi ya LC.
Imevunja rekodi ya mauzo ya SUV zote Amerika na Ulaya.
Sasa sijui huo umchongo unaousema unatoka wapi.
View attachment 2453944![]()
United States: best-selling SUV/crossover models 2023 | Statista
Out of all the SUV/Crossover models purchased by American consumers, the greatest number of sales was generated by the Toyota RAV4, with 434,900 sport-utility vehicles sold.www.statista.com
Tatizo humu ndani watu mnaongozwa na hisia na matamanio yenu kuliko uhalisia.
Sawa boss 🙏Rav4 na Harrier ni suv za mchongo. Sio proper suv. Corolla inaongoza kwa mauzo all time duniani unafikiri ndio the best car in Jp au duniani?
Gari nyingi za juu siyo gari za mbio. Unless iwe gari nzito.gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..
Gari ina engine kubwa halafu gearbox kidunchu. Hii ni moja ya sababu ya kubugia mafuta.Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)
100 seriesKuna jamaa anasema Kuna V8 bwege aka kubwa jinga
Cc Wigelekelo
Itakuwa Lexus RX400h, Hiyo ina 3.3L 3MZ engine.Kuna siku kwenye mataa niliona gari mfumo wa harrier lakini ni lexus halafu kwa pembeni imeandikwa hybrid
🤔🤔🤔 Nilikua na piga hesabu za kununua ila ngj niacheKwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.
Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.
Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:
1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..
2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..
3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.
4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)
5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.
N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Kuna video nilikuwa naangalia siku si nyingi youtube. Siku si nyingi.Arguments nyingine zimekaa ki-sisiemu tu. Ni gari gani ukiwa speed 120 haiihitaji umakini wa hali ya juu?
Kuna video nilikuwa naangalia siku si nyingi youtube. Siku si nyingi.
Bahati mbaya sana ninesahau ni gari gani.
Ilikuwa ni Autobahn na jamaa alikuwa anaswitch lanes barabarani au 300+ Km/h.
Kwenye comment watu walikuwa wanamshangaa. Unadhani ni kwanini?
Kuna gari at 120 tena ukiwa umefunga vioo unafeel kama gari haiendi. Unafeel kama upo 50.
Gari hazifanani kabisa.
Mkuu vipi kuhusu maeneo yasiyo na speed limit?Haijalishi ni gari gani unaendesha, ukiwa 120 lazima uwe makini, specially kwa barabara za kwetu Tanzania. Ndio maana speed limits barabarani ziko kwa magari yote.
Gari hazifanani hata kidogo aiseee.Haijalishi ni gari gani unaendesha, ukiwa 120 lazima uwe makini, specially kwa barabara za kwetu Tanzania. Ndio maana speed limits barabarani ziko kwa magari yote.
Halafu speed limit ni kwenye makazi na maeneo korofi.... Maeneo mengi hakuna speed limit yoyote.Haijalishi ni gari gani unaendesha, ukiwa 120 lazima uwe makini, specially kwa barabara za kwetu Tanzania. Ndio maana speed limits barabarani ziko kwa magari yote.
Mkuu vipi kuhusu maeneo yasiyo na speed limit?
Gari hazifanani hata kidogo aiseee.
Hebu tafuta sedan yoyote ambayo iko chini. Mfano 3 series. Funga vioo halafu gonga 120 uone, kwa hapa mjini unaweza ukajiona unakimbia ila huko maporini utajiona kama unatembea 40.
Fanyia kazi nilichokuambia utaelewa naongelea nini.
Tafuta gari yoyote iliyopass moose test EURO NCAP hata kama ni ya kijapani. Ipige speed kubwa utanielewa.
Na mimi nakuambia hili.Naona tunashindwa kuelewana. Ukiwa kwenye spidi, unatakiwa kuwa makini zaidi, haijalishi unaendesha gari gani.