Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Na mimi nakuambia hili.

Mnaweza kuwa kwenye speed kubwa halafu sawa, madereva wawili, mmoja akakwepa shimo akala mzinga, mwingine akakwepa shimo na akaendelea na safari.

Uzito wa gari, ground clearance, Suspension na mengine mengi yanachangia. Usikariri.

Try comprehension my guy, I'm losing hair over here. Sifa kuu ya udereva ni umakini. Umakini wa kujitambua mazingira, nyakati, na aina ya chombo. Barabara huijui, ila unaenda kwa spidi ni kukosa umakini.

Again, sijalinganisha magari popote pale.
 
Aiseee moja ya dream car yangu.

Nikiokota hela nataka nivute hawa wanyama.


AUTOBIO.jpg


LV8.jpeg


CA.jpg


HTLN.jpeg
 
Badala ya kununua harrier na ukiwa speed ikakumaliza tafuta discover 3 kwa bei hiyohiyo unapata na pia Kuna bmw X5 na X5 zote Zina ubora kuzidi harrier
 
Lexus RX300 RX350 etc
Hybrid means, it's powered by petrol and electric motor.
Low speed electric (0-60ish)
High speed(60+)petrol engine kicks in
Asante sana nimeelewa maana ya hybrid.

Sasa kwahiyo ni ya kuchaji kama EV's nyingine au inachajiwa na dynamo inayozungushwa na engine ya gari?
 
kote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Ni kama mie nilivyokuwa addicted na Hatchback
 
Kuna video nilikuwa naangalia siku si nyingi youtube. Siku si nyingi.

Bahati mbaya sana ninesahau ni gari gani.

Ilikuwa ni Autobahn na jamaa alikuwa anaswitch lanes barabarani au 300+ Km/h.

Kwenye comment watu walikuwa wanamshangaa. Unadhani ni kwanini?

Kuna gari at 120 tena ukiwa umefunga vioo unafeel kama gari haiendi. Unafeel kama upo 50.

Gari hazifanani kabisa.
Kama mark x, unaweza kufika 180km/hr bila ya kufahamu kuwa upo speed hiyo. Gari ikiwa na stability kubwa ndivyo umakini wa dereva unabweteka.
 
Asante sana nimeelewa maana ya hybrid.

Sasa kwahiyo ni ya kuchaji kama EV's nyingine au inachajiwa na dynamo inayozungushwa na engine ya gari?
Engine ya petrol ikizungusha inachaji ya umeme.
 
kote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Hiyo USV ndo ulitaka kumaanisha SUV?😅😅 au kuna gari aina ya USV
 
kote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Hutaki kuburuza makalio mkuu
 
Suv ina advantage gani zaidi ya ground clearance? Hizi suv za mchongo harrier,rav4 msiziweke kwenye proper suv akina lc. Hizi kwenye barabarani korofi kidogo tu hazitoboi kama sedan tu.
Kibongo bongo crossover tunaita SUV halafu tunaiweka kwenye class sawa na proper SUVs
 
Rav 4 unayoita ya mchongo ndio SUV maarudu zaidi Duniani zaidi ya LC.

Imevunja rekodi ya mauzo ya SUV zote Amerika na Ulaya.

Sasa sijui huo umchongo unaousema unatoka wapi.
View attachment 2453944
Tatizo humu ndani watu mnaongozwa na hisia na matamanio yenu kuliko uhalisia.
Hapo kwenye SUV / Crossover, RAV4 ni crossover
 
kote uko sahihi hasa kwenye stability tako la nyani ni nyepesi sana, ila umekosea kuilinganisha na Bravis na Crown. Come on dude unalinganishaje USV na Salon cars ?! Mimi sio mpenzi wa tako la nyani ila sivipendi hivyo vidude sijui Crown, Mark X, Bravis yani hivyo nikiendesha naisi niko na IST ha haa ha mtu ukishakua addicted na maUSV hautamani kabisa hivyo viberiti
Mkuu unatumia usafiri wa aina gani wewe?
 
Back
Top Bottom