Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni gari nzuri sana kwa long and distance drive, tatizo tunalopata ni matuta waliyoweka barabarani hayakuzingatia uwepo wa magari kama haya3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.
Ndio mana ilitupa ajari ambayo mpaka leo sielewi chanzo chake nachoshukuru sikuwaza kurogwaHarrier ni kweli ukifika kuanzia speed 120 inakubid kuongeza umakin na kutoa macho sana barabarani yani haitak kukwepa shimo hapo au kulala konani. Shock ups ni kila muda koo kooo kooo haina luxyry yoyote ile.
Yeyote anayehisi gari zote ni sawa aangalie hii video.Naona tunashindwa kuelewana. Ukiwa kwenye spidi, unatakiwa kuwa makini zaidi, haijalishi unaendesha gari gani.
Hiyo gari ni nyepesi sana. Kwenye hii video kuna toureg. Ukiipigisha harrier test kama hiyo itakula mzinga huo haujawahi kutokea.Hata ikifanyiwa alignment bado haitulii barabarani?
Yeyote anayehisi gari zote ni sawa aangalie hii video.
Volvo XC40 na Nissan PathfinderMkuu unatumia usafiri wa aina gani wewe?
haa ha ha hua naona kama kuingia nadumbukia kwenye ka shimo. Alafu magoti na mgongo vinajikunja nadhani kwa watu warefu gari ndogo ni adhabu.Hutaki kuburuza makalio mkuu
V8 ukimaanisha Nini?Maana V8 Ni engine tu inaweza kua Kwny SUV au kwny saloon car.Gari ni v8 tu ,hizi zingine ni umasikin tu unatusumbua
Malizia pia na zote hizo zina high maintenance cost kuliko Harrier.Badala ya kununua harrier na ukiwa speed ikakumaliza tafuta discover 3 kwa bei hiyohiyo unapata na pia Kuna bmw X5 na X5 zote Zina ubora kuzidi harrier
Ila marais, diplomats na executives wanadumbukia kwende luxury sedans. Zitakuwa na uchawi wake piahaa ha ha hua naona kama kuingia nadumbukia kwenye ka shimo. Alafu magoti na mgongo vinajikunja nadhani kwa watu warefu gari ndogo ni adhabu.
Yanh nakua kama nimejificha chini ya meza
Labda corolla na wenzie. Zipo gari za chini nyingi tu zina legroom ya kutosha. Kama alivyosema mdau hapo zingekuwa mateso diplomats na vips duniani wasingetumia.haa ha ha hua naona kama kuingia nadumbukia kwenye ka shimo. Alafu magoti na mgongo vinajikunja nadhani kwa watu warefu gari ndogo ni adhabu.
Yanh nakua kama nimejificha chini ya meza
ni kweli boss, sijui kwanini marais hua wanatengenezewa sedans na sio SUVIla marais, diplomats na executives wanadumbukia kwende luxury sedans. Zitakuwa na uchawi wake pia
Find out.ni kweli boss, sijui kwanini marais hua wanatengenezewa sedans na sio SUV
Ila kama nimewahi kuona misafara kadhaa ya marais wa middle East wakiwa na SUV'sFind out.
Ha ha ha kuna video kama hii ya pick up trucks. Hilux ilikuwa kituko
Hiyo hapo.... Yaani walitest Dodge Ram, Ford Ranger, na VW Amarok tena kwa speed kubwa kuliko waliyotumia kwenye Hilux lakini lakini zikaperform vizuri....,
Hizi tests wenzetu wanaziconsider sana. Maana ndio zinatuambia resistance ya gari dhidi ya rollover,
Hata rav 4 imefanya vibaya sana kwenye hizi tests.
Forester ni kitu ingine bro!5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.
Sometimes yes hata hapa kwetu huwa zinatumika kwenye mazingira fulani. Ila officially ni luxury executive sedans.Ila kama nimewahi kuona misafara kadhaa ya marais wa middle East wakiwa na SUV's