Pmrika
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 374
- 210
Bongo lala na mawazo mgando ya TOYOTA, XT unaweza tumia petrol ya kituo chochote.Hizo changamoto ulizoorodhesha ndio zinazopelekea Toyota kupendwa, mtu yupo nanyamba hiyo total, sijui oil ya 5w-30 unazitoa wapi