Sijawahi kuamini kama kuna mke mwema mwenye tabia hizi

Sijawahi kuamini kama kuna mke mwema mwenye tabia hizi

kumbe me mke mwema[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
So you get this protected class that receives a high level of respect despite being held to a low social standard.

And we are meant to believe they are equal to an unprotected class that is routinely denigrated and held to a high social standard.

Extremely unjust and perverse.
 
KUOLEWA UKIWA MSICHANA NDIO SIFA KUU YA KUWA MKE MWEMA.

1 WOKOR. 6.16
 
Wanawake wanaojitambua wapo ila ni 1 kati ya 100 means kukutana nao ni coincidence na huwezi kuwakuta huko.
Ila kuwapata itabidi na wewe uwe unajitambua sababu akikuona tu basi tayari ameshakusoma na kujua tabia zako hivyo atachagua akupuuze au mjenge maisha, talking about smart girls.

Ila hao unaowakuta huko ni kama zile dawa za shake it well and trash it after use.
 
Wapo sema maeneo yaliyotajwa muda mwingi wanachangamana na wanaume hivyo basi kwa wenye misimamo finyu ndio kama hivyo baadhi ya mambo hutokea

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Usimwamin mwanamke yeyote ata kama ni mama mchungaji , wewe amini tu utelezi waliobarikiwa basi.
 
Gym sina uhakika saana, maana huu utndwazi umeharibu mambo, mtu anajiweka hovyo hovyo kimavazi lakink haliki,
Kwingine huko Uko sahihi, wenye kulupinga watakupinnga tu kwa ujeuri wao.
 
Nina mpango mwaka ujao ukianza tu nakuwa Gym traine😁😁

Ntawaletea mrejesho
 
Back
Top Bottom