Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani

Sipati picha hao wazungu wako wana kila aina ya rangi kutu si kutu, jivu si jivu..huyo mdada simshauri umgegede maana hiyo michunusi itakayomtoka pana chezea
 

pole sana....
 
Kama ni kweli kwa umri huo hujawahi kufanya mapenzi, basi ukioa utamsumbua sana mkeo....yaani mambo ambayo ungefanya ukiwa na 18 Utafanya ukiwa na 35+???
 
Ahsante kwa ushauri wako,lakin mkuu siku moja alikuja dukan akasema ameniota usiku, nikamuuliza umeniotaje akasema kawaida tu.
 
Hujafanya na mwanamke ni sawa ila utakua unafanya sana na Miss Geisha wewe...
 
Hahaha "tony love"
Usjarbu hayo mambo, wenzako tunajuta. Ninao 6 wote wakitaka dyudyu......ooh baby am sick today. Am nat feelin well. Come tomorrow baby
 
Ahsante kwa ushauri wako,lakin mkuu siku moja alikuja dukan akasema ameniota usiku, nikamuuliza umeniotaje akasema kawaida tu.

Hapo kuna hukakika wa 100% kumpata. Amekwambia hivo baada ya kugundua we ni mwoga wa kumueleza. Dalili alishaziona kuwa unampenda. Hayo ndo.mazingira kakurengenezea. Jitahidi utafanikiwa.
 
Ukimwona mzuri kwako tambua pia kuna wengne kule chuo na mitaani wanamuona mzuri kwao, vp hujaanza kuhonga vitu vya dukani?. We subiri uone ndpo ufanye madhambi hayo, japo sikuamini km wewe ni bikra
 
Ni wapi ulikoipimia mashine yako ukaiona ni imara au kwa sababu ya kuona inasimama?
 
nenda corner bar pale wako wengi tu tena si wa kutongoza watakutongoza wenyewe, andaa buku 20 tu, maana ukiendelea kukaa ivyo angalia usije ukadandiwa wewe mwenyewe sasa. hahahah

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…