Na Dhambi Zingne Bado Azijaandikwa?? Hilo Swala Lako La Kutofanya Sex Ni Rahisi Tuuu Nashangaa Unavyolalamika Ugumu Wake, Ukikulia Maisha Ya Dini Na Kumtegemea Mungu Hiyo Inshu Inakua Ndogo Sanaaa. Shetan Alipoiweka Dunia Sasa, Hilo Swala Linakua Gumu!!!Mkuu ni ngumu sana lakin mpaka hapa zambi yangu ya kufanya mapenzi kabla ya doa bado haija andikwa.
Ahsante kwa ushauri wako mzuri,nitaufanyia kazi.Hongera sana kwa kujitunza mpaka miaka hiyo. Nawashangaa sana wanaokushangaa, it is possible hata kufikisha 30years. Nakushauri usifanye uzinzi subiri uoe na hiyo ni kwa faida yako, mungu wako na kwa mkeo. Remember ukiwa mwaminifu na mke wako kule atakua mwaminifu waiting for you.
Kama kweli umempenda kwa dhati na kuridhika nae mwambie then msubiri harusi ndio mfanye kitendo siku ya harusi usiku. Kwa sasa big nooooooo
Hahahaha.... niunganishe mkuu maana hakuna namna.
naomba kuungwa
Ahsante dada yangu kwa ushauri wako, lakin dada yangu nitajitunza mpaka lini? maana huu muda ndiyo mwafaka wa kupata mwanamke wa maisha na ndoto zangu.Faida Ya kuoa na b.ikra ni kuwa huwezi kulinganisha..Yaan we ukikutana na bwawa wala hujui kama ndio bwawa utajua ndo wote wapo hivyo..jitunze hadi uoe,huyo Dada atakuchezea na atakuacha.
kupitia upelelezi mkuu.pia yupo geti kali.
Faida Ya kuoa na b.ikra ni kuwa huwezi kulinganisha..Yaan we ukikutana na bwawa wala hujui kama ndio bwawa utajua ndo wote wapo hivyo..jitunze hadi uoe,huyo Dada atakuchezea na atakuacha.
Hahaha eti selfie. Sina uhakika mpendwa. Labda nije unielekeze. Thanx in advance.
Ahsante dada yangu kwa ushauri wako, lakin dada yangu nitajitunza mpaka lini? maana huu muda ndiyo mwafaka wa kupata mwanamke wa maisha na ndoto zangu.
Mpendwa usiniambie selfie huujui.
Ile kitu nashirikisha sabuni???