Mkuu nipo makin sana, nahitaji mwanamke mwenye upendo wa dhati anaejua shida na raha, asiye piga mizinga huyu ndie nitampenda kwa moyo wa dhati kabisa.Ngoja huyo wakusoma aanze kukupiga mizinga ufilisi duka la watu urudishwe kwenu kantalamba!!
Hata zile za kitoto toto za baba na mama, za nguo nguo hukuwahi?
Kwani hizo zinahesabika, Mwalimu?
Umeanza..
Koh koh koh hapana hizo ni kama "kupasha pasha kabla ya match"
Usipotezee. Kwa hiyo unatushauri tupoteze 'uvulana' wetu, ili tu tuweze kutofautisha bwawa na ambalo sio, ama?
Hapana..nimeshauri 'uvulana' usipotezwe ndio maana nikatoa na faida..kuna thawabu kubwa mbele ya Mungu,na wazazi wako wanabarikiwa.
Ushauri: Usiruhusu kurubuniwa.
Mkuu siwenzi kumsumbua hata kidogo najitambua.
Haha dah! Kama Ticha ndiyo umepinda hivi, wanangu hawatasoma tena Bongo. Heaven Sent, we will not have this discussion again. Si unaona walimu wetu?
Say what now? Yaani mimi kutofahamiana na wapendwa, wazazi wangu wanabarikiwa? Wakati wenyewe ndiyo wananishauri kila mara niruke ruke mpaka mapepe ya ujana yaishe, ndiyo ni-settle.
Oa ukiwa 'Hujatumika' Paulo. Acha ubishi. Yaani itakuwa kama kipofu kaona mwezi vile..
Hii ni story ya kweli mkuu we toa ushauri wa hekima.Ukimwona mzuri kwako tambua pia kuna wengne kule chuo na mitaani wanamuona mzuri kwao, vp hujaanza kuhonga vitu vya dukani?. We subiri uone ndpo ufanye madhambi hayo, japo sikuamini km wewe ni bikra
Oa ukiwa 'Hujatumika' Paulo. Acha ubishi. Yaani itakuwa kama kipofu kaona mwezi vile..
Kwanini anunue mbuzi kwenye gunia
Now you're leading me off-course. But of-course I'm still 'un-used'. My package's still intact, special for the Missus.
Hahaa..ila sasa ukute mwenzio katumika wee. Sema hautojua ndo raha yake.