Hahahah
Hivi unajua wageni hapa mjini ndio wanaongoza kwa selfie????? Mpaka wasettle ushamba uwatoke sio kazi ndogo...ni mwendo wa selfie asubuhi selfie usiku
Hahahah
Kwa maelezo yako inaonesha umefikia hatua ya mwisho ya uvumilivu. Na unapoelekea utayaingia tu. Sasa cha msingi cheza karata zako vizuri utafute mtu anayekupenda yeye kwa kipindi hiki, ili upunguze huo ugumu wako. Ukishaanza kupata uzoefu anza kutafuta unaempenda wewe, kwa sababu nina imani mpaka kipindi hicho utaweza kujicontrol.lakin kwa sasa ukitafutaunayempenda atakutesa sana. Bora utafute zombi usilolipenda kwa sasa ili likupe uzoefu.
Habari zenu MMU?
Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%.
Mashine yangu ipo imara sana ila nimekuwa mpweke sana hususani kwenye mambo ya mapenzi, kusema ukweli mapenzi niliyaweka pembeni nikaconcentrate kwenye masomo na mazoezi zaidi, sikuweza kuwatongoza kabisa wanawake japokuwa nilikuwa na hisia kama mwanaume.
Nilijipangia kuwa nitafanya mapenzi nikiwa kwenye ndoa hapo ndio nitasema nimeushinda mtihan, jaman kukaa bila kufanya mapenzi ni mtihan mgumu sana unaelekea kunishida, tangu nije Dar nimetokea kuwa na urafiki wa karibu sana na msichana wa chuo, huyu msichana nimetokea kumpenda sana, tatizo ananichukulia kama rafiki akija dukani napagawa yaani jinsi alivyoumbika mithili ya malaika, kumwambia naweza tatizo nahofia kukataliwa then iwe aibu akija dukani.
Naomba mawazo yenu ya hekima.
Habari zenu MMU?
Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%.
Mashine yangu ipo imara sana ila nimekuwa mpweke sana hususani kwenye mambo ya mapenzi, kusema ukweli mapenzi niliyaweka pembeni nikaconcentrate kwenye masomo na mazoezi zaidi, sikuweza kuwatongoza kabisa wanawake japokuwa nilikuwa na hisia kama mwanaume.
Nilijipangia kuwa nitafanya mapenzi nikiwa kwenye ndoa hapo ndio nitasema nimeushinda mtihan, jaman kukaa bila kufanya mapenzi ni mtihan mgumu sana unaelekea kunishida, tangu nije Dar nimetokea kuwa na urafiki wa karibu sana na msichana wa chuo, huyu msichana nimetokea kumpenda sana, tatizo ananichukulia kama rafiki akija dukani napagawa yaani jinsi alivyoumbika mithili ya malaika, kumwambia naweza tatizo nahofia kukataliwa then iwe aibu akija dukani.
Naomba mawazo yenu ya hekima.
Habari zenu MMU?
Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%.
Mashine yangu ipo imara sana ila nimekuwa mpweke sana hususani kwenye mambo ya mapenzi, kusema ukweli mapenzi niliyaweka pembeni nikaconcentrate kwenye masomo na mazoezi zaidi, sikuweza kuwatongoza kabisa wanawake japokuwa nilikuwa na hisia kama mwanaume.
Nilijipangia kuwa nitafanya mapenzi nikiwa kwenye ndoa hapo ndio nitasema nimeushinda mtihan, jaman kukaa bila kufanya mapenzi ni mtihan mgumu sana unaelekea kunishida, tangu nije Dar nimetokea kuwa na urafiki wa karibu sana na msichana wa chuo, huyu msichana nimetokea kumpenda sana, tatizo ananichukulia kama rafiki akija dukani napagawa yaani jinsi alivyoumbika mithili ya malaika, kumwambia naweza tatizo nahofia kukataliwa then iwe aibu akija dukani.
Naomba mawazo yenu ya hekima.
Habari zenu MMU?
Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%.
Mashine yangu ipo imara sana ila nimekuwa mpweke sana hususani kwenye mambo ya mapenzi, kusema ukweli mapenzi niliyaweka pembeni nikaconcentrate kwenye masomo na mazoezi zaidi, sikuweza kuwatongoza kabisa wanawake japokuwa nilikuwa na hisia kama mwanaume.
Nilijipangia kuwa nitafanya mapenzi nikiwa kwenye ndoa hapo ndio nitasema nimeushinda mtihan, jaman kukaa bila kufanya mapenzi ni mtihan mgumu sana unaelekea kunishida, tangu nije Dar nimetokea kuwa na urafiki wa karibu sana na msichana wa chuo, huyu msichana nimetokea kumpenda sana, tatizo ananichukulia kama rafiki akija dukani napagawa yaani jinsi alivyoumbika mithili ya malaika, kumwambia naweza tatizo nahofia kukataliwa then iwe aibu akija dukani.
Naomba mawazo yenu ya hekima.