Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani

dah...hatari utakuwa unapigaa puchuu balaaa
 
Hahahah
Hivi unajua wageni hapa mjini ndio wanaongoza kwa selfie????? Mpaka wasettle ushamba uwatoke sio kazi ndogo...ni mwendo wa selfie asubuhi selfie usiku

Hahahah
Mkuu nina mwaka na nusu nipo hapa mjini.
 

Mmh! Ushauri wa giza huu
 
Domo zege katika ubora wako!!!!
I guess itakuwa na sugu za kutosha kutokana na kujipiga selfie kila uonapo msichana mrembo
 
Hebu acha blabla , njoo inbox nikufundishe namna ya kufanya mapenzi .Ujisu nitakao kupatia lazima huyo mwanamke hatokuacha
 

Mwambie acha ujinga!
 
Kwa maelezo yako.
- Wewe ni domo zege.
- Wewe ni mtu wa kujichua sana.
- Wewe ni muoga na hujiamini unapenda vya ubwete.
 
Komaa kak.....usijarib kufanya...m2nzie mkeo japo cjui nae atakuwa kaku2nzia au?
 

Usijisumbue mkuu. Endelea na msimamo mpk uingie kweny ndoa. Huko utapewa bila hata kuomba au kutongoza.
 

point of corection, hakuna mwanamke mzuri dunian kama malaika
 
inaonesha utakua mmalizaji mzuri sana wa vipande vya sabuni wew,
 

🥲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…