Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani

Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani

Hahaaa viroba ktk ubora wake.
ww subiri adi ufikie 40s ndo utakamilika 100%.
hahaaa kwan ukikataliwa unachubuka au unaota kichunuc usoni.
pole
Mkuu situmii kilevi chochote mie mtu wa mungu.
 
Hapa nawaza unavyojifunga au kufunga magoli ya mikono

Na kudinda ukiongea na huyo dada

bado nawaza tu
 
Hapa nawaza unavyojifunga au kufunga magoli ya mikono

Na kudinda ukiongea na huyo dada

bado nawaza tu
huyu atakuwa mwanachama wa CHAPUTA aysee ,haiwezekani 24yrs awe hajagegeda..
 
Faida Ya kuoa na b.ikra ni kuwa huwezi kulinganisha..Yaan we ukikutana na bwawa wala hujui kama ndio bwawa utajua ndo wote wapo hivyo..jitunze hadi uoe,huyo Dada atakuchezea na atakuacha.
 
Ngoja huyo wakusoma aanze kukupiga mizinga ufilisi duka la watu urudishwe kwenu kantalamba!!
 
Ndiyo mkuu ninauhakika,ila mapungufu ndiyo haya ya kuongopa kukataliwa na huyu manzi toa ushauri mkuu.
we unafikir mwanamke atakupa jibu la YES hapohapo?? mbona hujiamini? utaweza kweli mikikiki ya wanawake kweli wewe? AAAH WEWE HAUTAWEZAAA!
 
Kwa maelezo yako inaonesha umefikia hatua ya mwisho ya uvumilivu. Na unapoelekea utayaingia tu. Sasa cha msingi cheza karata zako vizuri utafute mtu anayekupenda yeye kwa kipindi hiki, ili upunguze huo ugumu wako. Ukishaanza kupata uzoefu anza kutafuta unaempenda wewe, kwa sababu nina imani mpaka kipindi hicho utaweza kujicontrol.lakin kwa sasa ukitafutaunayempenda atakutesa sana. Bora utafute zombi usilolipenda kwa sasa ili likupe uzoefu.
Kaka nashukulu kwa ushauli wako mzuri mungu akubaliki katika maisha yako.
 
endelea kupiga punyeto tu mkuu utapata unachotafuta.
 
Habari zenu MMU?....Natumaini mko poa kabisa na afya njema.
Husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa dunian, mie nimwanaume niliekamilika kwa 99%. mashine yangu ipo imara sana ila nimekuwa mpweke sana hususani kwenye mambo ya mapenzi, kusema ukweli mapenzi niliyaweka pembeni nikaconcentrate kwenye masomo na mazoezi zaidi, sikuweza kuwatongoza kabisa wanawake japokuwa nilikuwa na hisia kama mwanaume. nilijipangia kuwa nitafanya mapenzi nikiwa kwenye doa hapo ndio nitasema nimeushinda mtihan, jaman kukaa bila kufanya mapenzi ni mtihan mgumu sana unaelekea kunishida, tangu nije dar nimetokea kuwa na urafiki wa karibu sana na msichana wa chuo, huyu msichana nimetokea kumpenda sana, tatizo ananichukulia kama rafiki akija dukan napagawa yaani jinsi alivyoumbika mithili ya malaika, kumwambia naweza tatizo nahofia kukataliwa then iwe aibu akija dukan....Naomba mawazo yenu ya hekima.

Kwa io we unafanyaga mapenzi na wanawake wa sayari nyingine na sio wa duniani c ndio!??,?
 
Je akikutana na zombi la kimakonde au la kizaramo unafikiri atabanduka kweli?ndo ataoa hapohapo!!!!!
 
"Jamani Kukaa Bila Kufanya Mapenzi Ni Mtihani Mgumu Sanaa Unaelekea Unanishinda" Well!!! Kwako Huu Ni Mtihani Mgumu Sanaa, Vipi Kuingia Peponi?? Ni Rahisi???
Mkuu ni ngumu sana lakin mpaka hapa zambi yangu ya kufanya mapenzi kabla ya doa bado haija andikwa.
 
huwezi jua mkuu....si kasema ni mwanafunzi wa chuo?itakuwa ni chuo cha masista anasomea usista huyo dada!!

Karne hii mwanafunzi Tena wa chuo umkute silid... Mtoa uzi anazingua aisee hata usistan huko siku hizi wanachakachuana sembuse vyuo vyetu hivi
 
Back
Top Bottom