pole sana dada kwa tatizo ili , mimi nafiki kuna tatizo la kisaikolojea , inawezekana ulipata matatizo ya kijinsia Utoto au ulikuwa na mausiano siyo mazuri kwa jinsia ya kiume , labda nikuulize swali vipi mausiano yako na jinsia ya kiume ? wakati ulipokuwa mtoto uliwaikufanyiwa kitendo kibaya kutoka njinsia ya kiume ?? kama kubakwa au kukataliwa au kupigwa kupiata kiasi ??au uliwai kuona mwanamke anabakwa au kufanyiawa kitendo kibaya cha kijinsia ?? kama umeshaolewa , unampanda mume wako dada ???
chakufanya dada kama uliwai kutendowa tendo lolote baya utoto kutoka njinsia ya kiume , jaribu kuwa samehee wote waliokutendea vitendo vibaya au kama uliwai kuona kitendo kibaya , jaribu kuwasamehee ,
pili :fanya mazoea ya kuwa karibu na mpenzi wako ,katika mambo ya kawaida kama kuzungumza naye kucheka na kubadilisha mawazo , na msikimbilia kufanya mapenzi kila wakati , pata muda wa kuwa marafiki tu
tatu:Mnapokuwa kwenye tenda la Ndoa , jaribu kusahau matatizo yote yanayokukabili, na wazo tendo la ndoa
nne:kabla ya tendo la ndoa jaribu kufanya Romance kwa muda wa kama dk 25 mpaka 35 kabla ya tendo , kuruhusu akil isahau matatizo yote yanayokukabili
ukishindwa kabisa jaribu kuwaona wataharamua wa mambo ya kike,