EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nikiwa primary nlikuwa mtoro saana na mtukutu
Kuna siku nilitoroka shule na "masela" wangu mida ya kama saa5 tukaenda kuiba miwa kwenye shamba la mzee mmoja hivi lipo karibu na shule.
Sasa basi, tukazama shambani tukaingia ndanindani kusaka miwa mikubwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tulikuwa kama wa3 ilikuwa kipindi cha joto so tunavuja jasho hatari.
Kumbe kwenye ile miwa kwa juu kuna UPUPU wa matunda kama maharage[emoji28][emoji28][emoji28]. Hapo hatuna panga so unauvuta muwa hadi ukatike.
Balaa lilianzia hapo ule upupu ukawaga VUMBI lake ukichanganya na jasho sasa [emoji21][emoji21][emoji21] aisee tuliwasha tukaanza kulia kwa sauti na miwa hatujaiacha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji38].
Kwenye shamba kulikuwa na mfereji wa maji tukazama kuoga ila wapi ni mwendo wa kuwashwa ike mbaya hadi tukavimba.
Tukasema kuingia porini na miwa yetu tukakaa kivulini, baada ya.muda muwasho ukaisha tulianza kuchekana kwa sauti balaa huku tunakula.miwa yetu ya wizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upupu wenyewe unafanana na huu hapa chini.
Una kisa cha kutusimulia?
Tiririka hapa
Kuna siku nilitoroka shule na "masela" wangu mida ya kama saa5 tukaenda kuiba miwa kwenye shamba la mzee mmoja hivi lipo karibu na shule.
Sasa basi, tukazama shambani tukaingia ndanindani kusaka miwa mikubwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tulikuwa kama wa3 ilikuwa kipindi cha joto so tunavuja jasho hatari.
Kumbe kwenye ile miwa kwa juu kuna UPUPU wa matunda kama maharage[emoji28][emoji28][emoji28]. Hapo hatuna panga so unauvuta muwa hadi ukatike.
Balaa lilianzia hapo ule upupu ukawaga VUMBI lake ukichanganya na jasho sasa [emoji21][emoji21][emoji21] aisee tuliwasha tukaanza kulia kwa sauti na miwa hatujaiacha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji38].
Kwenye shamba kulikuwa na mfereji wa maji tukazama kuoga ila wapi ni mwendo wa kuwashwa ike mbaya hadi tukavimba.
Tukasema kuingia porini na miwa yetu tukakaa kivulini, baada ya.muda muwasho ukaisha tulianza kuchekana kwa sauti balaa huku tunakula.miwa yetu ya wizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upupu wenyewe unafanana na huu hapa chini.
Una kisa cha kutusimulia?
Tiririka hapa