Munguwetu
Member
- Dec 13, 2022
- 87
- 80
Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa .
Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.
Wanawake waoneni hivi tu sio watu.
Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?
Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.
Wanawake waoneni hivi tu sio watu.
Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?