Sijawahi kukutana na mke wa mtu mpumbavi kama huyu

Sijawahi kukutana na mke wa mtu mpumbavi kama huyu

Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa .

Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.

Wanawake waoneni hivi tu sio watu.

Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?

Ujinga wako unaanzia hapa:

"Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?"

Ukimkanyaga na wewe tukuitije? Mpumbavu au?
 
Wanawake huwa wapo Emotional sana
Mwanamke yeyote ambaye anatoka nje labda ni M1 kwa 10 tu ambaye hamsemi mume wake vibaya kwa hawala yake
Lkn Wanaume huwa wako Rational akishakuwa na mchepuko lazima huwa dhamira inamsuta kuhusu nyumbani kwake au mke wake na huwa kuna mapenzi home ni M1 kwa 10 vilevile ambaye amebumbwa ameshikika na hawala yake
 
Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa .

Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.

Wanawake waoneni hivi tu sio watu.

Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?
anataka umpelekee moto alafu na ww unajivunga vunga
 
Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa .

Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.

Wanawake waoneni hivi tu sio watu.

Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?

Angalau taifa lina vijana wakuwatumainia.
 
Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa .

Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.

Wanawake waoneni hivi tu sio watu.

Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?
Mbna wanawake wapumbavu wako wengi Sana mkuu

Acha kbsa niliwai kudate na mke wamtu nilimuhurumia mumewe yaani niliona huruma haswa kwa jama Yule kumuoa mke mjinga Kiasi kile

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sentensi yako ya mwisho imefanya Niondoe Nyota zote nilizokuvesha wakati naanza kusoma Bandiko lako.
 
Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa .

Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya zaid alimsomesha yeye na kupata kazi aliyonayo.

Wanawake waoneni hivi tu sio watu.

Je mnadhani ningemkanyaga kidogo?
Hahaha
 
Back
Top Bottom