mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Mjitokezeni basi niko single,am a boy aka baby hapa JF kwa hiyo naweza sema ni bikira wa humu,nichangamkieni basi nina vigezo vifuatavyo
1.Akaunt zangu zinasoma Mil 90(personal) busines inazo 200million
2.Nina gari tatu,Range-rover,prado na verossa can u imagine how shall u enjoy with my luxuries cars
3.Nina nyumba 2 hapa mjini moja iko Mbezi beach,nyingine kimara
4.Nafanya kazi mshahara wangu Mil 4 kwa mwezi,marupurupu million 2 sum.....6000000
5.Nina vitega uchumi vi 5,ambavyo kila siku faida ni Mil 1
Haya nichangamkieni fasta akina dada kabla sijanyakwa
Sent from G spot
1.Akaunt zangu zinasoma Mil 90(personal) busines inazo 200million
2.Nina gari tatu,Range-rover,prado na verossa can u imagine how shall u enjoy with my luxuries cars
3.Nina nyumba 2 hapa mjini moja iko Mbezi beach,nyingine kimara
4.Nafanya kazi mshahara wangu Mil 4 kwa mwezi,marupurupu million 2 sum.....6000000
5.Nina vitega uchumi vi 5,ambavyo kila siku faida ni Mil 1
Haya nichangamkieni fasta akina dada kabla sijanyakwa
Sent from G spot