makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Mmeshawachafua na bleed huyo....wananchi hatuwezi kucheza na takataka.Wakati unahangaika na Simba utopolo wanaomba mechi ya kirafiki na Mazembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeshawachafua na bleed huyo....wananchi hatuwezi kucheza na takataka.Wakati unahangaika na Simba utopolo wanaomba mechi ya kirafiki na Mazembe
Wacha kejeli za kimalaya,FIFA wameshafanya yao mumefungiwa kusajili misimu mitatu kudadadeqUshawahi kujitekenya mwenyewe mbele ya umati?
Yaani sijawahi kuona futuhi na comedy nzito kama hii walahi.
Simba Super Cup: BINGWA (Simba)
Mchezaji Bora wa Mashindano: Rally Bwalya (Simba)
Golikipa Bora: Beno Kakolanya (Simba)
Mfungaji Bora: Bernard Morrison (Simba)
Mchezaji bora mechi ya Fainali: Luis Miquissone (Simba)
AMA KWELI SISI SIMBA NI COMEDY
Sawa dada mvaa vjora na madela kakojoe UKALALE. Champion league ya Africa since 1998Ushawahi kujitekenya mwenyewe mbele ya umati?
Yaani sijawahi kuona futuhi na comedy nzito kama hii walahi.
Simba Super Cup: BINGWA (Simba)
Mchezaji Bora wa Mashindano: Rally Bwalya (Simba)
Golikipa Bora: Beno Kakolanya (Simba)
Mfungaji Bora: Bernard Morrison (Simba)
Mchezaji bora mechi ya Fainali: Luis Miquissone (Simba)
AMA KWELI SISI SIMBA NI COMEDY
team 1: point 4, goli 4
team 2: point 3, goli 3
team 3: pointi 1, goli 1
Simba siwaamini, nitawaamini kama watavuka makundi tu