Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kuna huyu mchawi anayeongea na wadudu wa kwenye koroshoNawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna huyu mchawi anayeongea na wadudu wa kwenye koroshoNawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
Aliyewapa ultimatum wadudu wawe wameondoka kwenye mikorosho ya ukoo?😂😂😂😂Kuna huyu mchawi anayeongea na wadudu wa kwenye korosho
Unataka umsomee nyota yake ifikapo usiku wa manane?nipeni majina matatu ya mtoa mada
ubeligiji ukoYani "sisi" watu wafupi tunaonewa kila engo.Kila jambo baya ni "sisi" wafupi.Tutampata wapi wakili msomi afungue shauri la malalamiko mahakamani?😂😂😂😂😂
usiku mbali, nasema nae sasa hiviUnataka umsomee nyota yake ifikapo usiku wa manane?
😂😂😂😂😂😂Nawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
HahahahahahahaMnawaonea sana Watu wafupi[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini mtoa nada hajasema wafupi wachawiTutakoma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] huku sasa ni kutaka kutugombanisha na watu wafupi mmewapa lawama miaka yoye safari hii mmeanza kuwaita wachawi
TunamshukuruLakini mtoa nada hajasema wafupi wachawi
Huna Akili [emoji23][emoji23]Nawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
Yeye ndio wa kwanza mrefuMbona wewe ni mrefu?
Kweli Tz tuna vituko. Eti ndio waziri wa mambo ya ndani huyo anawaamrisha wadudu?.Kuna huyu mchawi anayeongea na wadudu wa kwenye korosho
Watu wafupi wengi wachawi sana afu wa wivu wa kijingaNawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
Naqubalii[emoji3577]ndugu yangu mods wa jf wameniblock yaani sa hv kila nikiiweka inakataa itabidi niwaambie maana inakua kinyonge sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakili wa morrison anaweza kuwasaidia mtafutenYani "sisi" watu wafupi tunaonewa kila engo.Kila jambo baya ni "sisi" wafupi.Tutampata wapi wakili msomi afungue shauri la malalamiko mahakamani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]