Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
Ila wanaume ndio tunaongoza kwa kutokua na siri, wanawake sijui wana moyo gani, wabarikiwe kwa kweli wanakufa na siri zenu nyie show mbovu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishaachwa sana kaka, usibishe iliukiachwa ndo utasemwa
mchawi pesa mkuu
Zinavuja baada ya kuachanaKwa hiyo hizi habari za wanaume wanakibamia, hawana nguvu za kiume ndio maana wake zao wanachepuka n.k zinavujaje?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ilaa mkikaa nyinyi kwa nyinyi mfano mabest walioshibana unaweza kumteta bebe wakoZinavuja baada ya kuachana
Uongo huu mkishauziwa tu mambo hadharaniZinavuja baada ya kuachana
Na ndio hapo zinapovujia, napo ni 0.11%, sio mar nying anaweza kumteta kwa ishu nyeti kma iyoilaa mkikaa nyinyi kwa nyinyi mfano mabest walioshibana unaweza kumteta bebe wako
Na wewe ni muhanga nn? Mkeo anakufichia siri zako? Sek 10 umemwaga au sio??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu usibishee acha na hawa viumbeNa ndio hapo zinapovujia, napo ni 0.11%, sio mar nying anaweza kumteta kwa ishu nyeti kma iyo
Labda wee ndo imekutokea mm apana, unazungumzia wadanganyi ndio ufanya ivomkuu usibishee acha na hawa viumbe
sema kuna ukweli mwanamke anayekuheshimu hawezi fanya hivoLabda wee ndo imekutokea mm apana, unazungumzia wadanganyi ndio ufanya ivo
Weng ni ivi vidangaji vya IG, vyuo n.ksema kuna ukweli mwanamke anayekuheshimu hawezi fanya hivo
Ulishawah kukaa saluni za kike?.Ila wanaume ndo tunaongoza kwa kutokua na siri, wanawake sijui wan moyo gani, wabarikiwe kwa kweli wanakufa na siri zenu nyie show mbovu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe jamaa njoo kikaoni huku usome katiba ueleweNa wewe ni muhanga nn? Mkeo anakufichia siri zako? Sek 10 umemwaga au sio??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ilaa mkikaa nyinyi kwa nyinyi mfano mabest walioshibana unaweza kumteta bebe wako