Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Tukishauziwa kitu gani? Kwenye mahusiano wanauza nini yani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukishauziwa kitu gani? Kwenye mahusiano wanauza nini yani?
Waliokuacha ni watunza siri siyo?Nishaachwa sana kaka, usibishe ili
Huziwa=kasirishwa=[emoji35] umeelewaTukishauziwa kitu gani?kwenye mahusiano wanauza nini yani?
Tatizo hujui kuandika
Joanah mama watoto wangu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Zinavuja baada ya kuachana
Sio wanaume wote wenye hulka ya kutoa siri za wanawake wanaokutana nao kimwili hata baada ya kuachana.Ila wanaume ndo tunaongoza kwa kutokua na siri, wanawake sijui wan moyo gani, wabarikiwe kwa kweli wanakufa na siri zenu nyie show mbovu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini umesema hivyo?Naona kabisa swala la haki sawa unalizingatia,,, msalimie shemela.
YeahWaliokuacha ni watunza siri siyo?
Kwasababu umeleta mada mkuu.Kwa nini umesema hivyo?
Hata hao marafiki wanaomdinya mke wamtu, sio siro zote hupata, labd km huyo mke ni wale wadangaji(hope unanielewa apa), kwa mke anaejieshim(na ndio weng walioolewa), awezi kumsema mme wake kwa ivo vitu, sawa atamsema ila si kwa hivyo unavyomaanisha weweMke wa mtu hatoi public anatoa kwa anae mdinya sasa ukitaka ujue Siri zako watafute marafik wa anamdinya mke wako [emoji28][emoji28]
Aaah wap nishasikia sana tuu, ila sio hayo unayomaanisha, ni mengn kabisa. Achen kuoa wadangaji mlokutana nao bar nyie watuMkiachana toka nduki usiombe usikie maneno yake
Kwani yanakuwaje mbona ya kawaida tu?! Hayana maajabu kwa makonkodi kama sisiMkiachana toka nduki usiombe usikie maneno yake
Siri zangu kama zipi?!Mke wa mtu hatoi public anatoa kwa anae mdinya sasa ukitaka ujue Siri zako watafute marafik wa anamdinya mke wako [emoji28][emoji28]
Siri zangu kama zipi?!