Sijawahi kuona simu yoyote ya Google Pixel au Aquos ikisoma 5G hapa Tanzania

Sijawahi kuona simu yoyote ya Google Pixel au Aquos ikisoma 5G hapa Tanzania

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Sijawahi ona simu yoyote ya Google pixel au Aquos au brand nyingi za kimarekani au kijapani zikisoma 5G hapa bongo

Kama kuna mtu anatumia simu tajwa hapo na inapanda hadi kuweka nembo ya 5G au neno 5G juu ya screen yake basi aweke screenshot aniumbue hapa

Ukweli wa hizo simu mwisho wa network niloona ni LTE karibia zote nilizowahi kuziona 5G yao kibongobongo hamna labda huko nchi zao ila kwa hapa sijawah kuona
 
Sijawahi ona simu yoyote ya Google pixel au Aquos au brand nyingi za kimarekani au kijapani zikisoma 5G hapa bongo

Kama kuna mtu anatumia simu tajwa hapo na inapanda hadi kuweka nembo ya 5G au neno 5G juu ya screen yake basi aweke screenshot aniumbue hapa

Ukweli wa hizo simu mwisho wa network niloona ni LTE karibia zote nilizowahi kuziona 5G yao kibongobongo hamna labda huko nchi zao ila kwa hapa sijawah kuona
Kusoma 5g inadepend na sababu tofauti tofauti

1.Network coverage
Ya eneo hilo inasoma 5g

2.je simcard yako ni 5g ?

3.network mode
Je umeselect auto,au 3g only au 4g/3g

Kakojoe ukalale
 
Mkuu hili suala nina uhakika nalo nina ushuhuda wawatu zaidi ya 10 wanatumia hizi simu na kuna jamaa zangu wanauza hizi simu pia lakini huo ndo ushuhuda wao
umejaribu kucheki line unayotumia mkuu?maana ili upate 5g lazima line pia iwe inasupport 5g
 
Hivi kwa akili zako unadhani mpaka nafanya hizo research silijui hilo?
Kusoma 5g inadepend na sababu tofauti tofauti

1.Network coverage
Ya eneo hilo inasoma 5g

2.je simcard yako ni 5g ?

3.network mode
Je umeselect auto,au 3g only au 4g/3g

Kakojoe ukalale
 
Back
Top Bottom