Sijawahi kuona simu yoyote ya Google Pixel au Aquos ikisoma 5G hapa Tanzania

Sijawahi kuona simu yoyote ya Google Pixel au Aquos ikisoma 5G hapa Tanzania

Kabisa
Mimi Ni user wa Pixel Phone, Izi simu kwa Bongo ni kama hazipandishi 5G ila ukiwa Nje inapandisha kutegemea na Eneo, Niliwahi Kuwa Nchi fulani na Ilikuwa inapandisha 5G, Ila kwa uzoefu wangu Hizi Pixel nyingi hazikuwa designated kuja Bongo ndio mana unakuta zina some restrictions hata VOlte tu nyingi unaona kama hazina mpaka unlock ndio utapata Volte kwa wale wenye Carrier providers wanao support VOLTE
 
Kusoma 5g inadepend na sababu tofauti tofauti

1.Network coverage
Ya eneo hilo inasoma 5g

2.je simcard yako ni 5g ?

3.network mode
Je umeselect auto,au 3g only au 4g/3g

Kakojoe ukalale
hivi kutumia 5g ni lazima kwenda kubadili laini? mi nakumbuka tuliswap laini 4g ilivyoingia lakini 5g sijasikia.
 

Attachments

  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    117.3 KB · Views: 9
Back
Top Bottom