Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Chief-Mkwawa tusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma screen shoot ya 5g basi, mtoa mada yuko sahihi google pixel hazisapoti 5g Tanzania sijui inchi zingine huko.Utakua umeongea kwa kuropoka mi nipo dukani kabisa nauza hizo simu mkuu.
Nipe muda kidogo maan mi natumia samsung mkuuTuma screen shoot ya 5g basi, mtoa mada yuko sahihi google pixel hazisapoti 5g Tanzania sijui inchi zingine huko.
wabongo bila picha hawaamini[emoji1787][emoji1787]
5g ipo mkuu inadepend na eneo ulilopoTanzania hamna 5G, kama ipo mmoja aoneshe downloading speed yake hapa.
Kwamba upige 20mbps kwenda juu hapa Tanzania?5g ipo mkuu inadepend na eneo ulilopo
Voda hiyoTanzania hamna 5G, kama ipo mmoja aoneshe downloading speed yake hapa.
Mkuu 5g hiyo hapoKwamba upige 20mbps kwenda juu hapa Tanzania?
Je unatumia simu gani?Voda hiyo
Unapiga mkuuKwamba upige 20mbps kwenda juu hapa Tanzania?
Hiyo 6 pro itakua bongo shit mkuuGoogle pixel 6 pro
Nubia Z60 ultra. Nipo dar. I majibu mengine yote yapo kwenye picture.Je unatumia simu gani?
Unatumia mtandao gani?
Upo eneo gani?
Je kifaa chako kinasupport 5g?
Haya ndo mambo ya msingi mkuu,huwezi kua MCHAMBAWIMA alafu unataka 5g
Target yangu mtoa uzi ambae analalamika na jf member wengine ambao wanasema tz hamna 5gNubia Z60 ultra. Nipo dar. I majibu mengine yote yapo kwenye picture.