johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata sielewi mwendazake Magufuli alifikiria nini?
Maana yeye mwenyewe mwendazake Magufuli alipoombwa soko la mbogamboga la Morogoro liitwe jina lake akagoma kabisa akasema apewe chifu Kingalu
Kimsingi sokoni ni pahala pa mambo ya kienyeji enyeji ukiona kiongizi mkubwa jina lake linabatizwa soko fikiria mara mbili mbili
Mbowe hajaongea lolote kuhusu CAG
Niishie hapo!
Maana yeye mwenyewe mwendazake Magufuli alipoombwa soko la mbogamboga la Morogoro liitwe jina lake akagoma kabisa akasema apewe chifu Kingalu
Kimsingi sokoni ni pahala pa mambo ya kienyeji enyeji ukiona kiongizi mkubwa jina lake linabatizwa soko fikiria mara mbili mbili
Mbowe hajaongea lolote kuhusu CAG
Niishie hapo!