Sijawahi kuona Upendo kama huu anaonipa huyu Dada

Sijawahi kuona Upendo kama huu anaonipa huyu Dada

Penzi jipya huwa halishauriki hahaha pole mdau,,nasubr uzi wa visa na matukio tu hapa ni suala la muda tu.
 
Wakuu,
Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah.

Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana nimejikuta ninampata dada mmoja mrembo kuzidi wote,mweupe,trako kama mlima kilimanjaro,mpole na mcha MUNGU.

Aise sijawahi kupewa penzi kama hili, amekamilika kila kona,yaani both ktk kutimiza majukumu kama mke na kitandani pia hajambo.

Chochote nitakacho napewa,nikijikwaa kdg tu nipatewa pole na machozi yatatoka kunililia eti nimeumia

Sasa nimeona isiwe tabu,jana nimetoka kujitambulisha kwao na mwezi wa nne atakuwa mke wangu rasmi.

Na leo nimetoka kupokea gari bandarini kwa ajiri ya kumpa zawadi ya valentine hapo kesho kutwa. Ambao hamna wapenzi mtajijua wengine tupo dunia yetu.

Karibuni valentine day nyumbani kwangu majimatitu dar~es~salaam.
Hongera, ila mapema sana kuimba pambio lako.
 
Usisahau kutunza kumbukumbu vizur sana saw kiongoz
 
Upo kwenye penzi jipya kwanza limeanza. Subiri muda ndiyo utakuja kugundua hiki ulichoandika hakina maana yoyote.
Mapenzi ndiyo huanza hivyo ila huko mbele ndiyo utajua kuwa ni utapeli
✌️
 
unaweza kuta huyo dada analipa fadhila tu.ila ndohovyo mwamba anaona ni neema imeshishwa
 
Hongera mkuu bt wasiwasi wangu ni jambo Moja huyo mwanamke amekupenda kweli au Kuna kitu amekiona kutoka kwako na pia huyo mwanamke hujamjua ana tabia Gani na lingine kama hujamkuta na bikira ujue huyo ni Cha wote na utakuja kuleta mrejesho hayo nayokwambia
 
downloadfile.jpg
 
kijana inaelekea wewe ni mgeni kwenye haya mambo, nakutahadharisha nenda taratibu na shirikisha vizuri kichwa chako.
 
Wakuu,
Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah.

Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana nimejikuta ninampata dada mmoja mrembo kuzidi wote,mweupe,trako kama mlima kilimanjaro,mpole na mcha MUNGU.

Aise sijawahi kupewa penzi kama hili, amekamilika kila kona,yaani both ktk kutimiza majukumu kama mke na kitandani pia hajambo.

Chochote nitakacho napewa,nikijikwaa kdg tu nipatewa pole na machozi yatatoka kunililia eti nimeumia

Sasa nimeona isiwe tabu,jana nimetoka kujitambulisha kwao na mwezi wa nne atakuwa mke wangu rasmi.

Na leo nimetoka kupokea gari bandarini kwa ajiri ya kumpa zawadi ya valentine hapo kesho kutwa. Ambao hamna wapenzi mtajijua wengine tupo dunia yetu.

Karibuni valentine day nyumbani kwangu majimatitu dar~es~salaam.
Kumbe hata ww unamjua huyo malaya 😂
 
Back
Top Bottom