[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sijui nikoje mie, hata nikichukizwa nanuna mara ghafla nacheka, siwezagi kuwa seriouz yaan.Yani wewe kazi yako ni kucheka tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahJua lishazama..sasa hivi kuna dogo dogo hawa wamezaliwa miaka ya 2000s.utaweza kucompete nao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhindi nehi nehi wao!!![emoji2][emoji2]wao kutoa tuu mahelaa!!!baasi ila eti sweetheart ,darling,I have never seen them!na hawanaga hyo asili!
Rey😂😂😂Kaka Ely[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hahaa,Rey😂😂😂
Hivi kwa umri wa mdada mwenye afya yake miaka 29 unakuwa na wanaume wawili tu? Hayo ni matumizi mabaya ya viungo. Walau ajaze Noah..noah tu!!
Hizi bahati sijui kwanini haziji kwangu!Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Huyu mwanaume hutoweza kuachana naye kabisa, hata ukiolewa na mwanaume mwingine, haitotokea ukaachana naye.Yes nina mtoto nae mmoja 3 years old boy
Why so?Huyu mwanaume hutoweza kuachana naye kabisa, hata ukiolewa na mwanaume mwingine, haitotokea ukaachana naye.
Mahusiano yameshajenga mizizi isiyoweza kung'ooka kirahisi.Why so?
Pole, ushazeeka hayo yashakupita bibie, waachie tu wadogo zako.Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesi yako Kama yangu
Mapenzi ni Zaidi ya vile watu hufikiiria lakini being romantic sio kipaji unaweza kujifunza
Mapenzi bhana unampenda mtoto wa watu unajitahidi kumuonyesha love zile za kihindi lakini
Anyway pray for Tanzania kikubwa amani
Wacha ww!! sisi tunapenda wapenzi wetu ile tunaita love to death.....Hujawahi kupendwa hata na Mama na baba yako hao ndio wana true love ❤️ ya kweli huku kwingine ubahatike
Mmeo uyo shosti mshazaa kumbe!Yes nina mtoto nae mmoja 3 years old boy