Sijawahi kupendwa

Sijawahi kupendwa

Yani wewe kazi yako ni kucheka tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sijui nikoje mie, hata nikichukizwa nanuna mara ghafla nacheka, siwezagi kuwa seriouz yaan.
 
Uhindi nehi nehi wao!!![emoji2][emoji2]wao kutoa tuu mahelaa!!!baasi ila eti sweetheart ,darling,I have never seen them!na hawanaga hyo asili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rey😂😂😂
Hivi kwa umri wa mdada mwenye afya yake miaka 29 unakuwa na wanaume wawili tu? Hayo ni matumizi mabaya ya viungo. Walau ajaze Noah..noah tu!!
Hahaa,
Bro nakuheshimu sana lakini..!!
 
Hello dears just want to share something with you about my love life.

I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.

Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.

Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.

Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)

My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.

I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Hizi bahati sijui kwanini haziji kwangu!
 
Hello dears just want to share something with you about my love life.

I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.

Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.

Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.

Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)

My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.

I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Pole, ushazeeka hayo yashakupita bibie, waachie tu wadogo zako.
 
MAPENZI PESA ka inavyotambulika skuizi vipi nyie wanawake wa"true love"si inasemekana mshakufa kwenye vita vya kwanza vya dunia? sasa kulikoni tena umeonekana century hii?? 🤔au ndio dodo chini ya mnazi😜
 
Kesi yako Kama yangu

Mapenzi ni Zaidi ya vile watu hufikiiria lakini being romantic sio kipaji unaweza kujifunza

Mapenzi bhana unampenda mtoto wa watu unajitahidi kumuonyesha love zile za kihindi lakini

Anyway pray for Tanzania kikubwa amani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kikubwa amani[emoji1535]
 
Si ndoa sasa hiyo, uchumba gani wa miaka 10
 
Back
Top Bottom