Sijawahi kupendwa

Ukiona hivyo bado muda sahihi haujafika wa kumpata akupendae na unajizibia kuwa na watu hawaeleweki,so ni bora kuwa single kulikuwa kujiweka kwa mtu unaona kabisa sio sahihi na haufurahii,muda ukifika utapata na hutaulizia vyote hivyo akufanyie atafanya
 
Tamthilia au series zimekuharibu.
 
[emoji3590] my everything
 
😊😊😊😊😊😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…