Sijawahi kupendwa

Khaaaaa uko kwenye relationship 10yrs[emoji849][emoji849]
So toka uko 19..
Mmhhhh

Watu wa true love wapo sanaaa tu..sema we umeamua kugandana na hilo dubwasha lako lisilokua na mapenzi...true love zipo mamaaa achia moyo huo watu wakupendeeeeeeee....
Watu tunafaidi huku nje.....

Get out ....unatumikaaa tu..na haji kukuoa huyo.....hlf unasema hupati true love huku hutaki wapa watu nafasi...poleee[emoji1]
 
Kingine amekosea una date na mtu miaka 10, hamna dalili ya mapenzi unasubiri nini? akufukuzajye hakwambii toka.
 
Unajua good girls wengi huishia kwa watu wabaya kwasababu wanaamini wao ndio wameletwa duniani kubadilisha vichwa ngumu, dada yangu umekaa kwenye mahusiano na mtu ambaye hana time na wewe sepa unangoja nini?

Jichanganye, acha dharau , jifunze kujua mda wa kuondoka usipende kung'ang'ania.

Pia toa sadaka, funga, amka usiku sali Mungu atakuongoza ila usirudie upuuzi wa kukaa kwenye mahusiano yasiyo na future.
 
WordπŸ“ŒπŸ“Œ
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe
 
Wachaaaaa
 
Hello dears just want to share something with you about my love life.

I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume
Nimesoma mpaka nikapata msisimuko, vinyweleo vimesisima

Mimi kidogo ni mdogo kwako lakini natamani kuwa in love kama ulivyoelezea... mama yetu please date me. i really want love. please
 
You are not serious! Ten years in relationship and you are now 29 yrs! Umetumika sana katika umri mdogo you hve no one to blame than yourself! Hadi nakuhurumia!
Kuna uhusiano wowote kati ya kuwa kwenye mahusiano na kutumika?
 
Nitafanyia kazi hiyo last paragraph Asante!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…