lovel
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 413
- 1,102
Khaaaaa uko kwenye relationship 10yrs[emoji849][emoji849]
So toka uko 19..
Mmhhhh
Watu wa true love wapo sanaaa tu..sema we umeamua kugandana na hilo dubwasha lako lisilokua na mapenzi...true love zipo mamaaa achia moyo huo watu wakupendeeeeeeee....
Watu tunafaidi huku nje.....
Get out ....unatumikaaa tu..na haji kukuoa huyo.....hlf unasema hupati true love huku hutaki wapa watu nafasi...poleee[emoji1]
So toka uko 19..
Mmhhhh
Watu wa true love wapo sanaaa tu..sema we umeamua kugandana na hilo dubwasha lako lisilokua na mapenzi...true love zipo mamaaa achia moyo huo watu wakupendeeeeeeee....
Watu tunafaidi huku nje.....
Get out ....unatumikaaa tu..na haji kukuoa huyo.....hlf unasema hupati true love huku hutaki wapa watu nafasi...poleee[emoji1]