Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Wachaaaaa
Jambo mamaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaaaaa
Yeye anafamilia nyingine au wewe na mtoto ndio familia yake?Yes nina mtoto nae mmoja 3 years old boy
Mkuu wewe umeelewaje nini maana ya kuwa kwenye mahusiano na ni nini maana yakutumika kabla ya kuchambua mahusiano ya vyote viwili tuanzie hapo! Kwako Khantwe!Kuna uhusiano wowote kati ya kuwa kwenye mahusiano na kutumika?
Ila mwenzangu kupendwa raha lohembu anza kuona vitu katika hali ya ukawaida usiwe na matarajio makubwa sana. Niamini kuwa utaenjoy sana.
[emoji15][emoji15]Ila mwenzangu kupendwa raha loh
Mimi pia natafuta wa kunipenda kwakweli
Wanaume tuna mambo mengi ya kuwaza na kufanya. 😂Tunasahau hadi kupenda.Ila mwenzangu kupendwa raha loh
Mimi pia natafuta wa kunipenda kwakweli
nakuelewa dada yangu ila nikuambie kitu dunia ya leo hii usiangalie kutaka kupendwa utakua mtu mwenye huzuni kila siku na acha kufanya mapenzi kuwa moja kama ya kitu cha muhimi sana kaika maisha yako utakua mpweke wa kutupwa mapenzi kama kuja yatakuja tuu as for now play the field ...mwisho wa siku utakua unajirahisiha kwa kila mwanaume anayeonyehsa kiupendo kidogo kwa vile umesha iweka akili yako kulemaa kwa kutafuta mapenzi utakua unatumiwa na kuachwa jipende mwenyewe kwanza tafuta kuwa na furaha yako mwenyewe badilisha mwenendo wakulemeza akili yako kwa kufuata mapenzi utaishia kwenye circle ya kuchezewa na kuwa mpweke na mwisho kujichukia mwenyewe kuonea watu wivu...na wasikudnaganye hao unaosema wanabembelezwa trust me its not that sweet as it looksHello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Mmeona sasa..mtatuua nyie watu…Wanaume tuna mambo mengi ya kuwaza na kufanya. 😂Tunasahau hadi kupenda.
Unashangaa mnoo😅😅[emoji15][emoji15]
Pole sana..Aaakinipenda mama inatosha eeeh
📌📌📌📌nakuelewa dada yangu ila nikuambie kitu dunia ya leo hii usiangalie kutaka kupendwa utakua mtu mwenye huzuni kila siku na acha kufanya mapenzi kuwa moja kama ya kitu cha muhimi sana kaika maisha yako utakua mpweke wa kutupwa mapenzi kama kuja yatakuja tuu as for now play the field ...mwisho wa siku utakua unajirahisiha kwa kila mwanaume anayeonyehsa kiupendo kidogo kwa vile umesha iweka akili yako kulemaa kwa kutafuta mapenzi utakua unatumiwa na kuachwa jipende mwenyewe kwanza tafuta kuwa na furaha yako mwenyewe badilisha mwenendo wakulemeza akili yako kwa kufuata mapenzi utaishia kwenye circle ya kuchezewa na kuwa mpweke na mwisho kujichukia mwenyewe kuonea watu wivu...na wasikudnaganye hao unaosema wanabembelezwa trust me its not that sweet as it looks
Ahsante sana..Pole sana..
Shida ni wewe kiinglish kingi mpka kitandani,hapo ndio unafeli dadaHello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
You said it all bro.nakuelewa dada yangu ila nikuambie kitu dunia ya leo hii usiangalie kutaka kupendwa utakua mtu mwenye huzuni kila siku na acha kufanya mapenzi kuwa moja kama ya kitu cha muhimi sana kaika maisha yako utakua mpweke wa kutupwa mapenzi kama kuja yatakuja tuu as for now play the field ...mwisho wa siku utakua unajirahisiha kwa kila mwanaume anayeonyehsa kiupendo kidogo kwa vile umesha iweka akili yako kulemaa kwa kutafuta mapenzi utakua unatumiwa na kuachwa jipende mwenyewe kwanza tafuta kuwa na furaha yako mwenyewe badilisha mwenendo wakulemeza akili yako kwa kufuata mapenzi utaishia kwenye circle ya kuchezewa na kuwa mpweke na mwisho kujichukia mwenyewe kuonea watu wivu...na wasikudnaganye hao unaosema wanabembelezwa trust me its not that sweet as it looks
😂😂😂 siku zote kazi nzuri uwa ya mwenzioMy point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine.