Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Keee🤣🤣🤣Inatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keee🤣🤣🤣Inatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu😂😂
Hawatakuwa na vikwazo kama Russia 🇷🇺Wasukuma mbinguni moja kwa moja!
😂😂..Yaani yule msukuma unastukia tu muamala umesoma mida ya lunch,napiga simu kusema Asante msukuma anakupa jibu moja tu,
Nenda ukale mama!(in Magufuli voice)jamaniii endelea kubarikiwa msukuma wa Magu.
Majanga ya dunia.😂😂
Ungetulia naye sasa!
kabisaaHawatakuwa na vikwazo kama Russia 🇷🇺
U want to make lv n not sex.. heb nipe tofaut hapo mkuu...Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Sijaona K Vant na Kitimoto hapo.Ahahahahhaaa ngoja kwanza nimuitie kapo inayopendana humu kama mate na ulimi....😅
Nao si wengine ni babu Asprin na bi Sky Eclat ....
Aige mfano wao atajikuta tuu anapendwa hadi anazimia...😊.
Kwangu mie ....... Mahaba ni Chakula, azingatie kujipenda, ale chakula kizuri chenye ladha na kumvutia machoni azingatie ambacho hakiharibu mwili.
View attachment 2134328View attachment 2134329View attachment 2134330View attachment 2134331View attachment 2134333
Just few to mention 😋.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!!kaka Mna upendo wa dhati mnoo plus mawivu lakini unromantic kabisa yaaani!!!kuna kipindi niliwaza kubadilika nikajitahidi week kama mbili baadae nikarudia asili yangu. Kumbe ndivyo tulivyo wasukuma.[emoji23][emoji23]
Uhindi nehi nehi wao!!![emoji2][emoji2]wao kutoa tuu mahelaa!!!baasi ila eti sweetheart ,darling,I have never seen them!na hawanaga hyo asili!Wanaupendo wa dhati sana ila tatizo hapo kwenye uhindi hindi [emoji38][emoji38][emoji38]
Kaka Ely[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Inatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu[emoji23][emoji23]
Majanga ya asili[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]Majanga ya dunia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah wee[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]wasukuma wengi wanaume hawako romantic shoo!nshawahi experience hyo hali,yaani yeye kutoa hanaga shida pesa mbele ,anatoa tuu!ila usitegeme kubembelezwa sijui baby..baby...darling..[emoji2][emoji2][emoji2]hazipo hizoo!ukifanya masihara mtakaa hata Siku3 hakutafuti ila ukiwa na shida anakuhudumia vzr sana!!nilivomjua hakunipaga shida kamwee!nilienda na biti lake hilo hilo na tukaishi fresh tu!
Yaani yuko busy to core!!sio kua hampendi mwanamke wake ila hawako romantic! Kuna mdada kaolewa ananiambia sijawahi kuambiwa guudnight na baba Gudi toka Tuoane almost 10yrs!!!neno I love you halipooo!!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Ahahahahhaaa ngoja kwanza nimuitie kapo inayopendana humu kama mate na ulimi....[emoji28]
Nao si wengine ni babu Asprin na bi Sky Eclat ....
Aige mfano wao atajikuta tuu anapendwa hadi anazimia...[emoji4].
Kwangu mie ....... Mahaba ni Chakula, azingatie kujipenda, ale chakula kizuri chenye ladha na kumvutia machoni azingatie ambacho hakiharibu mwili.
View attachment 2134328View attachment 2134329View attachment 2134330View attachment 2134331View attachment 2134333
Just few to mention [emoji39].
Mhhhh!!!,Watu tunaumiza vichwa namna ya kuwasaidia wenzetu huko Ukraine, wewe unatafuta mtu wa kukupenda.Sawa nimekuelewa kila la heri.Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu kipenzii nidokeze kidogo.Wasukuma Oyeee…
Nina wapendwa sana wasukuma lakini ikifikia hiyo hatua stimu inakata.
Sitaki maswali ila ninauzoefu [emoji16][emoji16]