Sijawahi kutongoza JF! Huwa inakuwaje?

Sijawahi kutongoza JF! Huwa inakuwaje?

Wengine humu ni madomo zege utawasikie nifuate PM

kweli ufuatwe PM huogopi, au ndo uzoefu wa kuleeee

Nawasiwasi hawa watakuwa wanaume wa pale naniliu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi nahisi itakua inaboa tu. Tuchukulie huku ndo pm sasa.

Castr: Za saa hizi.

Yeye: Nzuri tu mkuu

Castr: Aaah sasa mpaka huku tunaitana mkuu? (Unajichekesha) hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yeye: Ndiyo kwani kote si jf mkuu?

Castr: Ah una hoja ila ni sawa na kusema mke na mume wakiingia chumbani waendelee kuitana majina ya sebuleni walipokua mbele ya watoto..

Yeye: Ushasema mke na mume mkuu, mi na wewe tupo jf.

Castr: (unajichekesha tena)[emoji23] [emoji23] hahaaaahaaa looool unaonekana una vituko sana, ila nitafurahi usiponiita mkuu.

Yeye: Kwanini nisikuite mkuu?

Castr: Naomba tukutane jmos kesho nikupe sababu za kutoitana mkuu.

Kimya cha Saa 3 kinapita

Baadaye unaingia jf unakutana na uzi huu.

Wanaume tuheshimiane huko pm, wengine tumeolewa.

Unacheki muanzisha uzi, ndiyo ulikua naye pm. Mdau mmoja anasema acha kujifagilia weka ushahidi.

Ushahidi huo hapo juu unamwagwa.
 
Nina muda wa miaka kadhaa hapa jukwaani! Nishakutana na warembo kadhaa, ila sijawahi kutongoza either PM or anywhere...

Huwa inakuaje? Tupeane uzoefu...
Anza kuntongoza mimi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mimi nahisi itakua inaboa tu. Tuchukulie huku ndo pm sasa.

Castr: Za saa hizi.

Yeye: Nzuri tu mkuu

Castr: Aaah sasa mpaka huku tunaitana mkuu? (Unajichekesha) hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yeye: Ndiyo kwani kote si jf mkuu?

Castr: Ah una hoja ila ni sawa na kusema mke na mume wakiingia chumbani waendelee kuitana majina ya sebuleni walipokua mbele ya watoto..

Yeye: Ushasema mke na mume mkuu, mi na wewe tupo jf.

Castr: (unajichekesha tena)[emoji23] [emoji23] hahaaaahaaa looool unaonekana una vituko sana, ila nitafurahi usiponiita mkuu.

Yeye: Kwanini nisikuite mkuu?

Castr: Naomba tukutane jmos kesho nikupe sababu za kutoitana mkuu.

Kimya cha Saa 3 kinapita

Baadaye unaingia jf unakutana na uzi huu.

Wanaume tuheshimiane huko pm, wengine tumeolewa.

Unacheki muanzisha uzi, ndiyo ulikua naye pm. Mdau mmoja anasema acha kujifagilia weka ushahidi.

Ushahidi huo hapo juu unamwagwa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nina muda wa miaka kadhaa hapa jukwaani! Nishakutana na warembo kadhaa, ila sijawahi kutongoza either PM or anywhere...

Huwa inakuaje? Tupeane uzoefu...
We zama pm mtemee madini atakuelewa tu.!
Ila kuwa makini kuna mademu humu wamepinda yaani ukute demu used sana yaani "dashboard"
inasoma 98000000 km.!
Halafu wengi wa hivyo hutumia avatar fake za kuvutia ila ukizama pm wanakuwaga na matusi na kauli chafu mpaka utajuta.!
Mi nlihangaika sana ila nikaja kumpata tulizo la moyo na sasa tunaishi wote nilimpata hapahapa Jf tena ni maarufu sana.
Komaa mkuu utapata tu wamo baadhi tena wazuri wa sura na tabia.
 
We zama pm mtemee madini atakuelewa tu.!
Ila kuwa makini kuna mademu humu wamepinda yaani ukute demu used sana yaani "dashboard"
inasoma 98000000 km.!
Halafu wengi wa hivyo hutumia avatar fake za kuvutia ila ukizama pm wanakuwaga na matusi na kauli chafu mpaka utajuta.!
Mi nlihangaika sana ila nikaja kumpata tulizo la moyo na sasa tunaishi wote nilimpata hapahapa Jf tena ni maarufu sana.
Komaa mkuu utapata tu wamo baadhi tena wazuri wa sura na tabia.
Cc.Rubii
 
Mimi nahisi itakua inaboa tu. Tuchukulie huku ndo pm sasa.

Castr: Za saa hizi.

Yeye: Nzuri tu mkuu

Castr: Aaah sasa mpaka huku tunaitana mkuu? (Unajichekesha) hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yeye: Ndiyo kwani kote si jf mkuu?

Castr: Ah una hoja ila ni sawa na kusema mke na mume wakiingia chumbani waendelee kuitana majina ya sebuleni walipokua mbele ya watoto..

Yeye: Ushasema mke na mume mkuu, mi na wewe tupo jf.

Castr: (unajichekesha tena)[emoji23] [emoji23] hahaaaahaaa looool unaonekana una vituko sana, ila nitafurahi usiponiita mkuu.

Yeye: Kwanini nisikuite mkuu?

Castr: Naomba tukutane jmos kesho nikupe sababu za kutoitana mkuu.

Kimya cha Saa 3 kinapita

Baadaye unaingia jf unakutana na uzi huu.

Wanaume tuheshimiane huko pm, wengine tumeolewa.

Unacheki muanzisha uzi, ndiyo ulikua naye pm. Mdau mmoja anasema acha kujifagilia weka ushahidi.

Ushahidi huo hapo juu unamwagwa.
Nzuri hiyo bro..
Ila mkuu hapa umemlenga Mbwa dume na Rubi wake
 
Back
Top Bottom